Reborn tkd
JF-Expert Member
- Dec 18, 2020
- 2,068
- 2,188
Ukiwaambia wewe ni mbongo hapo unajipigia kiulaini
Wanaume wengi wa Tanzania wanajulikana kwa ushoga, si unaona jamaa nguo imembana kalio.
Ukiwaambia wewe ni mbongo hapo unajipigia kiulaini
Na kwani umelazimishwa? Unaongea ni kamaumeshikiwa bunduki ukae🤣🤣🤣Mkuu ni kweli kabisa yaan nina siku mbili ila sina amani tayaari nimeshamis kisamvu na chakula cha mtume🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Hongera kwake kwa hili.. ila hio hela haihusu mishahara yote.. ila maximum ndo hio 23% kwa mishahara ya kima cha chini.. mishahara ya juu hio % inapungua.. hatujui mwenye 1M au 3M ataongezwa kwa % ngap.Daah hela nzuri sana
Amekua sponsored na Kazi ndo aje NBO. Kwa mfuko wake akifika namanga pesa zimeisha.Na kwani umelazimishwa? Unaongea ni kamaumeshikiwa bunduki ukae🤣🤣🤣
Bullet ni risasi ama??Kumbe hujui bullet ni nn![]()
Wakilisha taifa kaka,bonda hao watotoWanajua mkuu maana tumekuja wabongo 2,warundi 3 na ethipio mmoja ila siunajua wabongo tunakubalika everywhere.
Take care kaka ukipita pande za kibera hizi njemba zisije kukuotea🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣ila brother sijui nitakaa muda ghan ila nafanya collection ya vipicha kwa ajili yako, babayao255 na ndugu zangu wote humu ndani kwa ajili ya battle ya baadaye tuombe uzima tu
Kwa suruali aliovaa isije akaliwa yeye.Wakilisha taifa kaka,bonda hao watoto
Jamaa anabanjulia watoto wa kimungiki saa hizi,mimi mwenyewe nishawabonda sana ya hao kwa wabongo wanakua wepesiiiWanaume wengi wa Tanzania wanajulikana kwa ushoga, si unaona jamaa nguo imembana kalio.
Mkunya in her true colors! Hamna kitu anaweza on equal footing!
Nmekuelewa kilichobaki tusubiri effectHongera kwake kwa hili.. ila hio hela haihusu mishahara yote.. ila maximum ndo hio 23% kwa mishahara ya kima cha chini.. mishahara ya juu hio % inapungua.. hatujui mwenye 1M au 3M ataongezwa kwa % ngap.
Natolea mfano mdogo.. anaelipwa kima cha chin cha 300,000 (mfano tu).. akiongezewa hio 23%, ongezeko inakuwa 69,000,
Na anaelipwa 3M.. akiongezewa hio 23% inakuwa 690,000, sasa serikal haiwezi kuongeza 690,000 kwa mtu mwenye msharaha wa 3M (hii 690,000 tayar ni mshahara wa mtu mwingine kbsa huu)
So inayojulikana ni hio 23% kwa kima cha chin.. ndo mana taarifa inasema ikiwemo 23% ya kima cha chini ..huko juu hatujui ni ngap.. inawezekana hata ikawa ni 5%
Ngoja nitoe mfano wa uongezeko la 5% kwa mtu wa msharaha wa 3M.. huyu ataongezewa 150,000..
Sasa ona tofauti.. ongezeko la 23% wa mshahara wa mwenye 300,000 ni 69,000 lkn ongezeko la 5% wa mshahara wa mwenye 3M ni 150,000 (reasonable kbs hii)
Sijui nilitaka niongeze nn lkn nadhan umeelewa kitu tayar
@Tony254 Haya yanayotokea husikii mkenya akisema lolote, lakini Tanzania ikijibu mapigo, wakenya wote wanaanza kupiga kelele, siku zote ninakuambia kwamba Kenya ndiyo nchi yenye kuanza chokochoko kwa majirani wake wote, hivi ninyi mpo na shida gani?
Umkumbushe apitie pale Tom Mboya na Accra roads. Kuna ndugu na dada zenu pale akawasalimie 😂 😂Take care kaka ukipita pande za kibera hizi njemba zisije kukuotea
Kafie kibera.Bullet ni risasi ama??
UmepanicKafie kibera.