Hiyo ndiyo route niliyokuwa naipigia debe humu ndani from keza it branches to Burundi and Rwanda halafu onward connection to Congo either via Burundi or Rwanda watajuana wenyewe huko na vilevile possible connection to Uganda hivyo kipande hicho kitapitisha mzigo mwingi sana.AFDB kawaambia kuwa "Tanzania, Burundi, Rwanda na DRC muungane mjenge SGR ya kutoka Isaka hadi Keza, then hapo kila mtu ajenge ya kwenda kwake"..so Kagame katuma ujumbe wako tayar.. nawaza tu![]()
according to mama ngina ??😂😂 iko mbali kwenye njaa na umaskini labdaHUU NI UBISHI WA KITOTO.
NAIROBI iko mbali sana KULINGANISHA NA DAR.
Look, I really didn't need an entire essay on that... Kama uliona nilikuwa na respond kwa The best 007 ambaye alisema hakuna infrastructure ina exist Nairobi yenye haipo Dar, so mambo ya kulialia sio necessary, Kenya managed to pull tha off alongside giving a budget for education so spare me the cries and next time advise your fellow countrymen wacheze ligi yao sio Kenya.Ndio sababu tunawaambia hamna akili, western countries" are free from basic problems, they are not struggling with other essential problems like us, do you like Tanzania to invest heavenly in security now and leave aside education, manufacturing, Agriculture and other sectors which are essential.
Ulaya wanao uwezo wa kiuchumi wa kuwekeza katika sector zote kwa pamoja, sisi ambao uwezo wetu ni mdogo lazima tuwe na vipaumbele, wapi tuanze na wapi kusubiri kwanza
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Out of 6000km rail network in EAC 4000km is in Tanzania the rest wanagawana hizo 2k hapo bado the ongoing sgr lineKutoka afdb View attachment 2223164
I thought ni godown at first glance mpaka niliposoma maandishi hapo chiniThe terminal at Kisumu airport coming up nicely.
View attachment 2223206
View attachment 2223207
View attachment 2223208
View attachment 2223209

"Uliniitisha= ulitaka/uliniomba/ ulihitajiEmirates ndio the best airline nimewahi kutumia. Chakula ni kizuri na service ipo sawa. Pia ni airline inayomiliki airbus A380 nyingi sana na hii ndege ndio the biggest passenger plane in the world. Mimi mwaka wa 2017 kutoka Dubai hadi Czech Republic nilitumia airbus A380 na ticket yenyewe inajieleza. Nilitoka Nairobi na kuconnect Dubai kisha nikaelekea Prague. RIP kwa president wa UAE, ameunda nchi ya nguvu sana.
View attachment 2223328
joto la jiwe kuna siku uliniitisha evidence. Hii inatosha au bado?
View attachment 2223355
bado sana mzee 😂😂👇👇
Si hata wewe umepost dose ya barabara ambayo bado iko under construction shida nini sasa?wewe kweli ni mapumpum.. hivi hauoni barabara is u/c.. kitu ki wazi kabisa.. watanganyika kweli
View attachment 2223356
Madeni ya mchina kutokana na kujenga miradi isiyoweza kuzalisha na kurudisha mikopo, Sri-Lanka na Kenya hazina tofauti katika kukopa na kujenga miradi ya hovyo, Kenya mjiandae.Huyu ni inspector general wa polisi anapigwa hivyo huko Sri Lanka,
Watu wa Sri Lanka wanarusha magari za wanasiasa mtoni.
huku ziko kila kona ya jiji🤣👇👇
Bollore East Africa is a registered company in Tanzania has been here kwa muda mrefu tuu.




Umeona eeeeeh ,hatuwez tukawa level moja na kunyaland inawauma sana🤣🤣🤣🤣🤣Namuona yupo busy kulazimisha njaa iwepo Tanzania.
Inaelekea hili swala la njaa linamuuma sana.