Justinr
JF-Expert Member
- May 22, 2020
- 3,709
- 6,832
Mama miezi kadhaa nyuma alisema tumetok middle income then juzijuzi kasema tena tupo middle income na thanks za kutosha kwa kutofungia uchumi.
Ninacho kiona ni upofu ulio jiwekea kwa mapenzi , lkn Tz inagiza mafuta Uturuki, Arabians countriee, malaysia singapore, ukisema wamefungia mafuta nakushanga sabab sahii mafuta ya OKI yamejaa madukani...apo kadanganye wasio jua ...ninaka sidehustle nafanya ndio mana niko more informedNilimsikia Rais mwenyewe na Waziri wa kilimo wakisema mafuta pia yanatoka huko on top of Malaysia .
Hao Malaysia mnawasema wamezuia exportation ya mafuta yao pia.
Well je hayo ni matatizo ya serikali kujitakia? Nani hajui kwamba mwaka toka mwaka Jana na huu mvua zimesua saua na hivyo uzalishaji kuathirika?
Sie tulioko mikoani tunaolima tunaona,bei ya gunia la mpunga 80,000 ,bei ya gunia la mahindi 45,000 na huu ni msimu wa mavuno hizi Bei hazijawahi fikiwa..