Mkuu, punguza jazba na uwe unatoa maoni yako ukiwa "fair". Sijasema watanzania wanamchukia, nimesema hawamuelewi, punguza hasira wote ni watanzania Kama wewe Wana haki ya kutoa maoni Yao kuhusu nchi inavyoendeshwa, kwanini hakuna anayesema wewe umezidisha mapenzi kwasababu zako binafsi?.
Huku katika mitandao ya kijamii unapata picha nzuri ya kujua kwa ujumla nini watanzania wanataka kwasababu watu waliopo humu " is very good representation of random sampling of Tanzanians", sio kweli kwamba watu wote wanaomchukia Samia walijikusanya ndio wakaamua kufungua "accounts za Twitter" au JF.
Ni muhimu Sana kwa kiongozi kusikiliza maoni ya watu anaowaongoza kupitia njia mbali mbali ili kuwa na ukaribu na wananchi wake, badala ya kusema kwamba watu wanamchukia
Sent from my itel L5007 using
JamiiForums mobile app