7seven
JF-Expert Member
- Mar 27, 2022
- 3,744
- 8,065
Labda ni issue ya bomba mkuu, ngoja tuendelee kufuatilia.
Labda ni issue ya bomba mkuu, ngoja tuendelee kufuatilia.
Kabisa mkuu!Msimpe attention achaneni naye, huyo wala co chetu bali anajichetua tu ni mpole kama wapole wengine, so mkimpa air time ndio atachetuka kweli.
Yanii sanaa tuuAisee! Uongozi wetu unatuangusha sana.
Halafu wanasema elimu yao iko juu. Hata kiingereza chao wanachoandika hakijanyooka wakati sisi tunaweza kuandika gazeti kwa kiswahili chetu fasaha.Wanaojua kingereza Kenya hawafiki 1% ya Wakenya wote, wengi wao ni wale wakenya wa zamani, Wakenya wa sasa hawajui kingereza wala kiswahili zaidi ya kubambia bambia vineno viwili vitatu vya mitandao.
Bungeni sasa hivi wanazungumzia vitu kupanda bei na mafuta. Makamba anaongea sasa hivi kama unaaccess na redio au tv sikiliza sasa hivi.Mimi silalami,kitu gani ambacho sijajibu? Hujaelewa maelezo yangu? Kama hujaelewa hilo ni tatizo lako binafsi maana nimekujibu vyema..
Wewe endelea kulaumu maana ni wale wale
Alichowaachia Nyerere ni ujamaa. A stupid philosophy that you have since dropped like a hot potatoMambo aliyoacha ameyasett kipindi hicho hadi sasa hivi yanareflect maisha yetu.Tukilumbana na kukosa muelekeo tunarudi tena kutaka kujua sera ya Baba wa Taifa inasemaje. Misingi imara aliyoiweka mzee wetu inatuongoza mpaka sasa hivi.
Hivi Kenyatta huwa mnamuona kama Baba wa Taifa lenu, au kwa kuwa alikufia ndio basi tena hana umuhimu kama Kibaki?
Seriously nyinyi hamna heshima, utu na kuthamini michango ya wezee wenu.Hii ni laana mjitakase lasivyo uovu wenu utawatafuna vizazi vyenu vyote.
Wewe unaumwa na nini sisi kufanya maamuzi ya kuwakumbuka wakenya Wenzetu kwa kuyapa taasisi mbalimbali majina yao. Hayo ni mambo yetu kama nchi, sasa wewe unaumwa kwa nini na kama nani? Shugulika na masuala ya danganyikaHapo ndipo mnapojidhalilisha na kuonekana ninyi ni wapumbavu wa mwisho, mbona sijauliza kuhusu Jommo Kenyatta, kwasababu alikua kiongozi na aliacha "Legacy" hapo Kenya, Sasa mama Ngina alikua nani hapo Kenya zaidi ya kumvulia chupi Jommo Kenyatta?, Kwahiyo mnakumbuka na kuenzi "Legacy" ya kuvua chupi?,
Hivi unaweza kunitajia jina la mke wa rais wa nchi yoyote hapa duniani ukiwacha Winnie Mandela ambaye yeye mwenyewe binafsi alikua mwanaharakati mkubwa, ambaye hadi Leo watu wanamuenzi na kumkubuka?
Sent from my itel L5007 using JamiiForums mobile app
Stupid philosophy ndiyo inayowalisha na kuwatoa katika njaa ya kifo.Alichowaachia Nyerere ni ujamaa. A stupid philosophy that you have since dropped like a hot potato







Kama ni bora zaidi as you paint it, mbona hamkuendelea nayo? Kunani tena?Stupid philosophy ndiyo inayowalisha na kuwatoa katika njaa ya kifo.
Stupid philosophy ndiyo inayojenga miradi ambayo kwenu ni ndoto na hamtokuwa nayo kwa miaka 200 ijayo.
Stupid philosophy ndiyo iliyoleta amani ambayo nyinyi hamtokuwa nayo mpk Yesu arudi.
Stupid philosophy ndiyo inayofanya Watz tuwe tuliostaarabika yani wise people unlike you.
Stupid philosophy ndiyo imefanya tuwe na inclusive economy.
Stupid philosophy ndiyo iliyofanya tuendelee kuwa na ardhi kubwa yenye mali nyingi ambazo zingine tumewapora wapumbavu kama nyie na bado tutakuja kuwapora maeneo mengine mfano Mombasa.
Stupid philosophy.........?![]()
Huyu kenge siku hizi anajitahidi sana kwenye kiswahili, wakunya muushukuru sn huu uzi, umewafumbua mambo mengi sana.Wewe unaumwa na nini sisi kufanya maamuzi ya kuwakumbuka wakenya Wenzetu kwa kuyapa taasisi mbalimbali majina yao. Hayo ni mambo yetu kama nchi, sasa wewe unaumwa kwa nini na kama nani? Shugulika na masuala ya danganyika
Kwa ss tupo kwenye philosophy ipi?Kama ni bora zaidi as you paint it, mbona hamkuendelea nayo? Kunani tena?
Stupid philosophy haijawajengea mradi wowote. Miradi yenu yote ni loans mwanzo mwishoStupid philosophy ndiyo inayowalisha na kuwatoa katika njaa ya kifo.
Stupid philosophy ndiyo inayojenga miradi ambayo kwenu ni ndoto na hamtokuwa nayo kwa miaka 200 ijayo.
Stupid philosophy ndiyo iliyoleta amani ambayo nyinyi hamtokuwa nayo mpk Yesu arudi.
Stupid philosophy ndiyo inayofanya Watz tuwe tuliostaarabika yani wise people unlike you.
Stupid philosophy ndiyo imefanya tuwe na inclusive economy.
Stupid philosophy ndiyo iliyofanya tuendelee kuwa na ardhi kubwa yenye mali nyingi ambazo zingine tumewapora wapumbavu kama nyie na bado tutakuja kuwapora maeneo mengine mfano Mombasa.
Stupid philosophy.........?![]()
Kama hizo loans za kujenga miradi kama hiyo ni rahisi kuzipata namna hiyo mbona nyie hamkujenga? Na si nyie ni ombaomba wa dunia? Mbona hamkuomba mpewe mkopo wa kujenga vitu muhimu kama hivyo?Stupid philosophy haijawajengea mradi wowote. Miradi yenu yote ni loans mwanzo mwisho View attachment 2218830
Afadhali mimi kiswahili changu kimeimprove thanks to jf. Wewe Kiingereza yako bado ni ya mwananyamala tuHuyu kenge siku hizi anajitahidi sana kwenye kiswahili, wakunya muushukuru sn huu uzi, umewafumbua mambo mengi sana.
Mbona husemi kifaransa changu pia ni cha mwananyamala, je ww unajua kifaransa?Afadhali mimi kiswahili changu kimeimprove thanks to jf. Wewe Kiingereza yako bado ni ya mwananyamala tu
Sasa wewe hapo mwananyamala mlala hoi unabishana na Rais wako wa nchi? Who knows better between you and her?Kama hizo loans za kujenga miradi kama hiyo ni rahisi kuzipata namna hiyo mbona nyie hamkujenga? Na si nyie ni ombaomba wa dunia? Mbona hamkuomba mpewe mkopo wa kujenga vitu muhimu kama hivyo?
Ujamaa ndio umoja wetu,upendo wetu, utajiri wetu, ushirika wetu, maendeleo yetu pasipo kubaguana kwa makabila wala ukanda na udini.Alichowaachia Nyerere ni ujamaa. A stupid philosophy that you have since dropped like a hot potato
Kama Kiingereza chenyewe ndio hukijui sasa kifaransa utajuaje?Mbona husemi kifaransa changu pia ni cha mwananyamala, je ww unajua kifaransa?
Rais gani yule aliyesema Tz imerudishwa ldc alafu siku mbili mbele akasema Tz ni LMC? Au ni yule aliyesema bei ya mafuta Tz ipo chini kuliko America?Sasa wewe hapo mwananyamala mlala hoi unabishana na Rais wako wa nchi? Who knows better between you and her?













Kama ni kizuri mbona maliachana nayo?Ujamaa ndio umoja wetu,upendo wetu, utajiri wetu, ushirika wetu, maendeleo yetu pasipo kubaguana kwa makabila wala ukanda na udini.
Kwahiyo hiki kitu kwa akili yako unaona n kitu kibaya? Hadi nimekuonea huruma kwa jinsi ulivyoongea.
Haya yote niliyoyataja nilinganisha na kwenu mabepari.