The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,538
Umeona ulivyo lofa? So based on ur reasoning it's quite true that every maasai is fluent in English?Kama Kiingereza chenyewe ndio hukijui sasa kifaransa utajuaje?
Umeona ulivyo lofa? So based on ur reasoning it's quite true that every maasai is fluent in English?Kama Kiingereza chenyewe ndio hukijui sasa kifaransa utajuaje?
Ngoja nione hapa atajibuje? Maan anajua Kiingereza tu ndio lugha pekee ya kimataifa. Ila huu Uzi umetufungua macho sikuwa kujua kuna baadhi ya Wakenya ni wajinga hivi. They have poor reasoning capacity.Mbona husemi kifaransa changu pia ni cha mwananyamala, je ww unajua kifaransa?
Kwa hivyo leo Rais wa jamhuri ya Tanganyika haaminiki kwa lolote kisa kasema miradi mikubwa yenu yamefadhiliwa na mikopo?Rais gani yule aliyesema Tz imerudishwa ldc alafu siku mbili mbele akasema Tz ni LMC? Au ni yule aliyesema bei ya mafuta Tz ipo chini kuliko America?![]()
Kama tuliachano nayo kwanini umeitaja? Umeona akili yako jinsi ilivyo?Kama ni kizuri mbona maliachana nayo?
Kwa hivyo wewe ni Maasai?Umeona ulivyo lofa? So based on ur reasoning it's quite true that every maasai is fluent in English?
Umeona ulivyo lofa? So based on ur reasoning it's quite true that every maasai is fluent in English?



ninesema kwenye reasoning ni shida.Nimeitaja kwa sababu mliitumiaKama tuliachano nayo kwanini umeitaja? Umeona akili yako jinsi ilivyo?
Mm nimekuuliza, wewe ume conclude umeona ulivyo poor ktk ku debate?Kwa hivyo leo Rais wa jamhuri ya Tanganyika haaminiki kwa lolote kisa kasema miradi mikubwa yenu yamefadhiliwa na mikopo?
Umekunywa chang'aa au hujala mjomba mjomba?Kwa hivyo wewe ni Maasai?
Sasa hivi usingeitaja maana tulishaachana nayo na hatuitumii tena, halafu sisi hatufungamani na upande wowote. Tuko Neutral!Nimeitaja kwa sababu mliitumia
Now tunatumia nn?Nimeitaja kwa sababu mliitumia
Wewe unajua kudebate? If you know how to debate why are you differing with your president?Mm nimekuuliza, wewe ume conclude umeona ulivyo poor ktk ku debate?
Huyu ananipotezea muda ngoja nifanye mambo mengine ya muhimu.Sasa hivi usingeitaja maana tulishaachana nayo na hatuitumii tena, halafu sisi hatufungamani na upande wowote. Tuko Neutral!
Nenda kale kwanza naona leo umeamka na njaa kali, see you later on.Wewe unajua kudebate? If you know how to debate why are you differing with your president?
You can tell us. What did you resort to as a country after dropping Ujamaa?Now tunatumia nn?
Nimekunywa konyagi 😂 😂Umekunywa chang'aa au hujala mjomba mjomba?
Mbona mliachana nayo if it was so good? You know what they say? That change is inevitableSasa hivi usingeitaja maana tulishaachana nayo na hatuitumii tena, halafu sisi hatufungamani na upande wowote. Tuko Neutral!
Sio final product, ila kuna raw materials za kuzalisha ngano zinatoka huko, azam ndio wazalishaji wakubwaHata ngano tanzania huagiza Russia!