The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Machinga kama woteTukiwaambia Kenya inadevelop fast munaanza kulialia. Sasa ona unatupostia picha za zamani over ten years ago flyover ikiwa bila rangi.View attachment 2184082







Machinga kama woteTukiwaambia Kenya inadevelop fast munaanza kulialia. Sasa ona unatupostia picha za zamani over ten years ago flyover ikiwa bila rangi.View attachment 2184082







Usiwe mbishi Tanzania development vision 2025 is a 30 years development vision which started in 1995 even before you thought of coming up with your vision 2030.Ilianza lini? Hilo ndilo swali nyeti.
Gwajima ni mpuuzi,kwani hajui mpango wa miaka 5 mitano wa Serikali? Hajui vision 2025?
Yeye ajikite kupotosha mazwazwa wake kule kanisani kwake.
Baba yako anazo? Unaelewa au umekurupuka? Soma upya ndio uje kujibu fala wewe..Miaka mitano ? Una akili kweli Wewe
Kufikiria hivyo ni utahira Dar ziko kibao tuu tena za kisasa kuliko huo uchafu wenu
Hawa ni wababaishaji.Hii barabara ya 4 lanes ni ya Thika na ina km 50 sasa hizo lanes zenye kilometers 467 ni za barabara ipi?
Eti lane 4 km 567? How?
Jinga Sana Hilo jamaa.
Niwe mkweli hayo magari sijayaona nna miaka kama kumi hasa hilo Isuzu.View attachment 2184220
View attachment 2184221
Hii hi Nairobi??haya magari yanatumia Steam engine au Coal, Century ya ngapi sasa hivi?
HIVI TANGANYIKA YOOOOOOOOTE..! HAKUNA ROAD SIGNAGE KAA HIZI HATA MOJA, NA KAA VIMO, HEB MVIRUSHAMO BASI TUVIONAMO
Isuzu hilo kaka sijaliona mwaka wa kumi sasa, ukitaka gari za makumbusho nenda Kenya.Kuna huyu dingilai hapa ni muhenga kuliko independence day yao
Halafu eti YOM nyenyenyenye
View attachment 2184228
Mkuu Gwajima ni kichaa Wala hastaili kujibiwa na serikali, Ina maana mbunge mzima hajui kwamba Tanzania tuna visions ya muda mrefu?, Ina maana hii "public document" hajawahi kuisoma?Miaka mitano ? Una akili kweli Wewe
Long term vision ya Tanzania hii hapa, from 1995 to 2025, Sasa umeamini kwamba Gwajima ni kichaa?, Kama unamuunga mkono na kumuamini, basi wewe pia utakua Kama yeyeIlianza lini? Hilo ndilo swali nyeti.
Sasa hivi KQ zinazokuja Dar zimetolewa company livery nahisi zitakuwa zimeshachukuliwa na wenyewe, yani ndege ni nyeupe kabisa haina andishi hata moja, inasikitisha sana.
Aki utasema Lagos. Mapacha wawiliNairobi yako hii hapa na tuktuk zake na modern expensive cars zake na cleanness na order
View attachment 2184014
View attachment 2184015
View attachment 2184016
View attachment 2184017
View attachment 2184018
View attachment 2184019



Jamaa waongo hawa







Ss haelewi nn, umeulizwa swali unatakiwa ujibu. Pale ulikuwa ushaongopa sema jamaa kakudakaYani wewe hakuna kitu unaelewa? Road signs huelewi, simple English huelewi.![]()









Street zenu zimejaa proboxHii ya bongo ni mzee kama kobe, Kenya sahii hizi ndio zinajaza streets.
![]()
Umeishia darasa la ngapi?, Kwahiyo zaidi ya ukabila na rushwa, huko shuleni kwenu mnafundishwa nini tena?How is economy affecting rain availability? Mbona hii swali hamtaki kujibu?
😂😂😂😂 Hii barabara ya 4 lanes ni ya Thika na ina km 50 sasa hizo lanes zenye kilometers 467 ni za barabara ipi?
Eti lane 4 km 567? How?
Huyu hajawai kuona milango ya driving school walahinime realize, hawa watanganyika wakiona hawana kitu flani yenye mwenzao anayo... wanaanza kuitafutia vijimakosa ndogo ndogo.... oo, mara, the roads are unmarked, hee.. mara sasa sijui mpaka nakuru mbona sio 4lanes... mara ngeeeny... mara ngooooong
Anaropoka tuu hata hajui kwamba ilianza kutekelezwa kitambo na ina malengo na self assessment mechanisms.Mkuu Gwajima ni kichaa Wala hastaili kujibiwa na serikali, Ina maana mbunge mzima hajui kwamba Tanzania tuna visions ya muda mrefu?, Ina maana hii "public document" hajawahi kuisoma?