Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tony254, unayosema sio kweli hata kidogo, sector nzima ya Agriculture Tanzania ambayo ni kubwa kuliko nchi zote za ukanda huu haina uwezo kuingiza $1.3B, hafadhali ungesema maua ningekubali kwasababu ni "high value products.

Majani chai ni " low value' product, ili kupata $1.3B, lazima ardhi ya nchi nzima ya Kenya igeuzwe kuwa mashamba ya chai.

Kinachotokea ni kwamba, chai yote inayolimwa Malawi, Zambia, Tanzania, Burundi, Rwanda, Uganda, Kenya na Ethiopia inakusanywa kwenye soko kubwa la chai hapo Mombasa, kutoka hapo ndio hiyo chai inakua "branded" Kama "Export from Kenya", lakini Kenya pekee hamuwezi kuzalisha hata chai inayozidi $200M, "prove me wrong"
Ila mzee kuwa specific yaani unamaanisha crops, ila all agriculture (26% of the GDP) as to mean grains (maize, rice, casava e.t.c.), fishing, livestock, pulses (beans, lentils, sesame e.t.c) n cash crops (tobacco, tea, coffee, tea, cashews, cloves, cotton, sisal, honey, algae (seaweeds)) ama? Mbona $1.3 bln inapitwa by far? In 2018 agriculture alone was over $12 bln!

 
Kaka, huwa unalitendea haki sana jukwaa letu hili kwa kuelezea huja nzito kiurahisi kabisa.

Hili ulilolisema linaonesha wazi mapungufu ya kipimo cha GDP (nominal) ambapo uchumi wa nchi ya kenya unaoneana mkubwa (wanazalisha zaidi) lakini kiuhalisia ni mdogo. Ndiyo maana wanashindwa kufanya hata vimradi vidogo.

Vita ya Ukraine pia imeonesha wazi kabisa kuwa uchumi wa Urusi ni mkubwa kuliko GDP (nominal) inavyosema, vita yao imetikisa dunia nzima wakati takwimu zinasema uchumi wao ni mdogo kuliko ule wa Korea Kusini.
Jamaa yuko smart sn.
 
Hii ndio SUV munaendesha in 2022.🤣🤣🤣 Gari ikona miaka mingi kukuliko.

Harrier | Vehicle Gallery | Toyota Brand | Mobility | Toyota Motor  Corporation Official Global Website
Kwa taarifa yako harrier nyingi bongo ni matako ya nyani

1649638055701.png
 
Huwa yuko vizuri sana kichwani na anawaweza kweli hawa nyang'au. Mimi huwa tunafautiana naye kwenye chanjo ya Corona tuu, kwasababu huwa hakubali kuwa propaganda za kisiasa zilitawala kwa kuweka kando sayansi.
Hata kwenye chanjo alikuwa anaenda vzr tu na alifungua nyuzi za moto kuhusu Magu kuwa outsmart wakunya kwenye mapambano dhidi ya corona ila ghafla baada ya kuingia huyu mama nikaona kama alitaka ku change hivi lkn baadaye tukawa tunaenda sawa, yn inshort jamaa ni kichefuchefu cha wakunya
 
Ila mzee kuwa specific yaani unamaanisha crops, ila all agriculture (26% of the GDP) as to mean grains (maize, rice, casava e.t.c.), fishing, livestock, pulses (beans, lentils, sesame e.t.c) n cash crops (tobacco, tea, coffee, tea, cashews, cloves, cotton, sisal, honey, algae (seaweeds)) ama? Mbona $1.3 bln inapitwa by far? In 2018 agriculture alone was over $12 bln!

Nimekupata mkuu, huwa lugha hizi za kisasa zinasumbua Sana.
 
Back
Top Bottom