Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

2 rivers
FB_IMG_16496742707490834.jpg
 
Egypt hawana njaa Wala upungufu wa malisho ya wanyama, na bado wanajenga miundombinu ya kupambana na jangwa, nchi za wajinga kazi Yao ni kulalamikia Mungu tu, hovyo Sana "failed state"
Lakini hawana wanyama wengi kiasi hicho mkuu ila lazima tuache utoto wa kutegemea Mungu badala ya kuchakata akili .
 
Huyo ni kichaa, hukumbuki alivyokua akiongoza mapambano ya kupinga chanjo?,:miongoni mwa makosa aliyofanya Magufuli ni kuwachagulia wananchi watu wasiokubalika, miongoni mwa hao watu waliokataliwa na wananchi ni huyu chizi.
Gwajima ni mpuuzi,kwani hajui mpango wa miaka 5 mitano wa Serikali? Hajui vision 2025?

Yeye ajikite kupotosha mazwazwa wake kule kanisani kwake.
 
Gwajima ni mpuuzi,kwani hajui mpango wa miaka 5 mitano wa Serikali? Hajui vision 2025?

Yeye ajikite kupotosha mazwazwa wake kule kanisani kwake.
Yeye sio Mpuuzi. Yeye anazungumzia mipango mirefu. Sio hio ya miaka mitano. Jaribu kuelewa anachozungumzia. Nyie hamna hio mipango mirefu.
 
Yeye sio Mpuuzi. Yeye anazungumzia mipango mirefu. Sio hio ya miaka mitano. Jaribu kuelewa anachozungumzia. Nyie hamna hio mipango mirefu.
Wewe na yeye wote ni wapuuzi,hivi huko Kenya kwenye vision 2030 mnatekeleza kwa miaka mingapi mingapi?

Umeanza utoto sasa,mwambie akasome hiyo vision 2025 na alone hiyo mipango na miradi nk vilivyomo..

Tofauti ya style za implementations ndio ziko tofauti na lazima ziwe hivyo Ili tufike haraka na tupate efficiency.
 
Tuna mipango ya mda wa Kati wa miaka 5 sasa kwani kuna shida ipi? Pia Tunaendelea na vision 2025 sasa unasemaje hakuna vision?
Hio ni short-term vision tu. Nyie hamna long-term vision. Gwajima yupo right. Sasa sijui unapinga nini. Miaka mitano ni short-term mzee.
 
Wewe na yeye wote ni wapuuzi,hivi huko Kenya kwenye vision 2030 mnatekeleza kwa miaka mingapi mingapi?

Umeanza utoto sasa,mwambie akasome hiyo vision 2025 na alone hiyo mipango na miradi nk vilivyomo..

Tofauti ya style za implementations ndio ziko tofauti na lazima ziwe hivyo Ili tufike haraka na tupate efficiency.
Vision 2030 ilianza kutekelezwa hata kabla ya mwaka wa 2010 na ni mpango wa miaka ishirini. Kubali facts kwamba hamna mipango hii long-term.
 
Hio ni short-term vision tu. Nyie hamna long-term vision. Gwajima yupo right. Sasa sijui unapinga nini. Miaka mitano ni short-term mzee.
Kwa hiyo vision 2030 ya Kenya ndio long ila vision 2025 ya Tzn sio long sio? 😆😆😆..

Nimekuuliza ujibu sio kuruka ruka kama Nzi,Kenya vision inatekelezwaje?
 
Vision 2030 ilianza kutekelezwa hata kabla ya mwaka wa 2010 na ni mpango wa miaka ishirini. Kubali facts kwamba hamna mipango hii long-term.
Sasa vision 2025 wewe unajua ilianza lini kutekelezwa?

Hoja pekee ya muhimu ni kuzipa nguvu za kisheria hizo vision na kuwe na malengo yanayopimika.
 
Back
Top Bottom