Kuna huyu dingilai hapa ni muhenga kuliko independence day yao 😅😅😅😅Na angalia YOM ya hivyo vipanya, Si wanaendesha magari ya kuanzia 2012? Hayo madude yanatakiwa yawe museum yanafanya nini hapo?
You need a brain transplant.🤦🏾♂️🤦🏾♂️Ninyi ni mataahira ukiweka hiki kibao maana yake unavyosema lane 2 (Nakuru 167km) iwe kweli hii lane inafika Nakuru maana yake kuwe na 4 lanes mpaka Nakuru
Mnasema lane 3 Eldoret 320km, lane 4 Mombasa 496km wakati kibarabara chenyewe mwisho km20 😅😅😅😅😅
Sasa hizo multiple lanes with that huge distances what for? Wakunya akili zenu kama za mbu tu 😕
View attachment 2184151
Sisi hayo mambo tulianza kitambo kidogo kabla yenu vision yetu inaishia 2025.Kenya tuna vision 2030. Nyie hamnaa mpango wa muda mrefu na bado mnataka kushindana na sisi. Msikilizeni Gwajima anavyokiri kwamba TZ haina mpango wa muda mrefu. Nchi nyingi duniani zinayo mipango ya muda mrefu lakini malazy kama kawaida wameangukia pua kwenye hili.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣View attachment 2184220
View attachment 2184221
Hii hi Nairobi??haya magari yanatumia Steam engine au Coal, Century ya ngapi sasa hivi?
Chakushangaza wenzao hayo maneno ya kuhamasisha/ kuonya madereva huwa yanawekwa kwenye mabango ya kidijitali. Hubadilika kutokana na kampeni ya muda huo, wao wameweka jumla (permanent). Ni washamba sana hawa watu.Hii road furniture huwa inawekwa kutoa information kwenye highway yenye multiple lanes diverting into different routes ila sababu hamna barabara ya aina hiyo kwenye hiki ki 2 lanes mmeamua kuweka maneno ya wana motivational speakers instead of appropriate messages, mna safari ndefu mno 😅😅😅
View attachment 2184010
UoN tower auditoriumUniveristy of Dar es Salaam .
New Auditorium tho not so.big but its classy
600 seats View attachment 2183954View attachment 2184101
Cherry picking is too much 🙄
Ni Marehemu anayesubiria taratibu za maziko tuu.
Hii ni family theater?
Ilianza lini? Hilo ndilo swali nyeti.Sisi hayo mambo tulianza kitambo kidogo kabla yenu vision yetu inaishia 2025.View attachment 2184225View attachment 2184227
Tanzania tuna mipango ya muda mfupi na muda wa kati na muda mrefu 5years 15 years and 25 years yote hiyo inakwenda concurrently5 years itakuaje long term plan? Stop joking.
Kuna huyu dingilai hapa ni muhenga kuliko independence day yao
Halafu eti YOM nyenyenyenye
View attachment 2184228











Taahira mkubwa wewe,uwe unasoma kabla ya kukurupuka Ili uwahi ku comment.nimekuita tahira sababu mtu katoa hoja nzuri ya kawaida na inayoeleweka ila wewe unaleta story zakishamba
Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
Yani wewe hakuna kitu unaelewa? Road signs huelewi, simple English huelewi. 🤣🤣🤣
Huwa nacheka, Yani wakunya wanafosi wafanane na Ulaya mpk inachekeshaHii road furniture huwa inawekwa kutoa information kwenye highway yenye multiple lanes diverting into different routes ila sababu hamna barabara ya aina hiyo kwenye hiki ki 2 lanes mmeamua kuweka maneno ya wana motivational speakers instead of appropriate messages, mna safari ndefu mno
View attachment 2184010









Jengeni flyover kwenu kwanza ndio uje uongee kuhusu yetu. Nyie isipokuwa hio moja ya Dar hamna nyingine. Kisha unaicheka nchi ambayo ina flyover zaidi ya kumi na hata towns ndogo ndogo zina flyover? Sie tuna mpaka expressway ambayo ina viaduct zaidi ya 7 km. Nyie hamna hizi vitu.Ila wakenya kweli ninyi ni wachoyo, kumbe mna flyover nzuri hivi lakini hamtaki kushare na sisi? Why? 😅😅😅😅
You kept it secret for so long 😒
View attachment 2184060
View attachment 2184061
Ka Nairobi kachafu wallahi.Nairobi yako hii hapa na tuktuk zake na modern expensive cars zake na cleanness na order
View attachment 2184014
View attachment 2184015
View attachment 2184016
View attachment 2184017
View attachment 2184018
View attachment 2184019
Jamaa mpk vipanya vinaingia CBD kwani haukuwa na taarifa?Kumbe mnazo mpaka CBD? Didn't know![]()







Ila wakenya kweli ninyi ni wachoyo, kumbe mna flyover nzuri hivi lakini hamtaki kushare na sisi? Why?
You kept it secret for so long
View attachment 2184060
View attachment 2184061







