The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
Siku zote nitakuwa upande wa beberu 😁😁
Great business mzee..looking to have my own auditorium one dayKuongezea..next door arena ni yetu (familia yetu) kishare![]()
Kawe hapiti 2025 labda akagombee Usukumani!Huyo ni kichaa, hukumbuki alivyokua akiongoza mapambano ya kupinga chanjo?,:miongoni mwa makosa aliyofanya Magufuli ni kuwachagulia wananchi watu wasiokubalika, miongoni mwa hao watu waliokataliwa na wananchi ni huyu chizi.
naona vumbi jekundu tu barabara haisafishwi?A section of Westlands. Hio median inafaa kua decorated and probably plant trees on the sides.
![]()
Hii nchi ni vichekesho kinoma! Hawajajifunza toka kilichowatokea Iraq!
Suburbs zenu hazina lami, unajaribu kutuambia nini sasa.Kawe hapiti 2025 labda akagombee Usukumani!
Sasa si bora Pemba wao wana at least technological mode of transporteti umesemaje..?? eti sura nzuri.....!View attachment 2183928View attachment 2183929
Huyo ni mpuuzi Sana, hivi kweli Kuna nchi isiyo na mipango ya muda mfupi na mirefu?, Tanzania tunayo mipango ya muda mfupi ya miaka 5, muda wa Kati ni miaka 10, na muda mrefu ni miaka 25.Yeye sio Mpuuzi. Yeye anazungumzia mipango mirefu. Sio hio ya miaka mitano. Jaribu kuelewa anachozungumzia. Nyie hamna hio mipango mirefu.
Hivi vipanya bado vinacruise kama commuters transport Nairobi wakati Dar miaka 10 nyuma vilishapigwa ban, mna safari ndefu 😕A section of Westlands. Hio median inafaa kua decorated and probably plant trees on the sides.
![]()
ujue wewe ni tahira,kipi kibaya alichokisema gwajima ? mtu kaongea vitu vya msingi wewe unakuja kuongea utoto hapa,Gwajima ni mpuuzi,kwani hajui mpango wa miaka 5 mitano wa Serikali? Hajui vision 2025?
Yeye ajikite kupotosha mazwazwa wake kule kanisani kwake.
Kwanini ninyi ni wa kabila hivi? Kwa nini akagombee usukumani na sio Kawe?Kawe hapiti 2025 labda akagombee Usukumani!
Jinga Sana Hilo jamaa.Kawe hapiti 2025 labda akagombee Usukumani!
kuna watz wengine wanazingua sana wapo humu kuleta siasa za kipuuzi,,Hahaha. There are a lot retarded people in this thread. 5 years itakuwaje long-term plan.


They are better than hizo tuktuk zimejaa Dar kila mahali kama mende.Hivi vipanya bado vinacruise kama commuters transport Nairobi wakati Dar miaka 10 nyuma vilishapigwa ban, mna safari ndefu 😕
View attachment 2184006
Hii road furniture huwa inawekwa kutoa information kwenye highway yenye multiple lanes diverting into different routes ila sababu hamna barabara ya aina hiyo kwenye hiki ki 2 lanes mmeamua kuweka maneno ya wana motivational speakers instead of appropriate messages, mna safari ndefu mno 😅😅😅easter holiday tumeanza na mapemaView attachment 2183963View attachment 2184000View attachment 2183964
Nairobi yako hii hapa na tuktuk zake na modern expensive cars zake na cleanness na order 😅😅😅😅They are better than hizo tuktuk zimejaa Dar kila mahali kama mende.