Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi Expressway passing through the suburbs.
Scenes like this utazipata tu kwa developing or developed cities. Ile kijiji inaitwa Dar haina gated suburbs or elevated highways, so huwezi ona picha kama hii, pengine kwa ndoto.
Image
 
You must ask your leaders to come up with programs of irrigations and water availability to those areas affected by chronic draught, stop endless excuses
How is economy affecting rain availability? Mbona hii swali hamtaki kujibu?
 
Eastleigh, old money getting replaced by new money. Growing economy inaonekana kwa ground sio kelele za chura kama wengine, watu hawana pesa kwa mfuko wanaishi kutegemea miradi za serikali ndio waone new developments.

Image
 
Sasa kwani kukiwa na over harvesting kwa ajili ya lumber industries, over grazing, cultivation without regards to water sources and over population in towns and cities increased human economic activities ambazo hizi zote ni economic activities ina maana haziwezi kuleta mabadiliko ya tabia nchi na kupelelea kukosa rain. Sometimes jaribu kuwa na oversight kidogo tuu itakusaidia
Which economic activity is happening in northern Kenya?
 
Kenya tuna vision 2030. Nyie hamnaa mpango wa muda mrefu na bado mnataka kushindana na sisi. Msikilizeni Gwajima anavyokiri kwamba TZ haina mpango wa muda mrefu. Nchi nyingi duniani zinayo mipango ya muda mrefu lakini malazy kama kawaida wameangukia pua kwenye hili.
 
Kenya tuna vision 2030. Nyie hamnaa mpango wa muda mrefu na bado mnataka kushindana na sisi. Msikilizeni Gwajima anavyokiri kwamba TZ haina mpango wa muda mrefu. Nchi nyingi duniani zinayo mipango ya muda mrefu lakini malazy kama kawaida wameangukia pua kwenye hili.
Huyo ni kichaa, hukumbuki alivyokua akiongoza mapambano ya kupinga chanjo?,:miongoni mwa makosa aliyofanya Magufuli ni kuwachagulia wananchi watu wasiokubalika, miongoni mwa hao watu waliokataliwa na wananchi ni huyu chizi.
 
Kenya tuna vision 2030. Nyie hamnaa mpango wa muda mrefu na bado mnataka kushindana na sisi. Msikilizeni Gwajima anavyokiri kwamba TZ haina mpango wa muda mrefu. Nchi nyingi duniani zinayo mipango ya muda mrefu lakini malazy kama kawaida wameangukia pua kwenye hili.

Ngoja nikufundishe siasa iliyotumika hapo 😆 sisi tuna mpango wa maendeleo wa mwaka 2011/2012 hadi 2025/26 na mipango ya kila baada ya miaka mitano mitano.. kwa sasa tupo mpango wa miaka mitano ya mwisho yaan 2020/2021-2025/2026 ila kaspin ili asionekane anasemwa mtu

Ila ase mpk jamaa anasema hiv..ujue kaona aliyepo kwenye kiti saiz haeleweki 🤣🤣 hapo kamkataa mama kiaina..
Mama ana kazi sana
20220411_160412.jpg
 
Back
Top Bottom