Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Umeuliza swali la kishamba sana.😂😂😂🤣🤣 Lakini tunaelewa hamna this type of infrastructure, so huwezi elewa about entry and exit ramps plus kutumia interchanges.
Nimekuambia kwenye kibao mmeandika lane 2 Nakuru 167km, lane 3 Eldoret 320km, lane 4 Mombasa 496km

Swali lanes za hiyo barabara zina urefu wa hizo distances to the respective destinations? Simple 🤔
 
motivational speakers manyoa
Bora hata mngewawekea huu ujumbe murua kabisa hapo juu 😁

download.jpeg
 
Ninyi ni mataahira ukiweka hiki kibao maana yake unavyosema lane 2 (Nakuru 167km) iwe kweli hii lane inafika Nakuru maana yake kuwe na 4 lanes mpaka Nakuru

Mnasema lane 3 Eldoret 320km, lane 4 Mombasa 496km wakati kibarabara chenyewe mwisho km20 😅😅😅😅😅

Sasa hizo multiple lanes with that huge distances what for? Wakunya akili zenu kama za mbu tu 😕

View attachment 2184151
nime realize, hawa watanganyika wakiona hawana kitu flani yenye mwenzie anayo... wanaanza kuitafutia vijimakosa ndogo ndogo.... oo, mara, the roads are unmarked, hee.. mara sasa sijui mpaka nakuru mbona sio 4lanes... mara ngeeeng... mara ngooooong
 
Karma is real,waliokuwa kwenye utukufu sasa ni zamu yao kutoa machozi..Makonda alalamika kutishiwa maisha

Mwendazake aliwaingiza Chaka vijana wake,Bora kupoteza hirizi sio kufiwa na mganga wako👇👇

ADF897B4-6329-46AA-B4D6-79C3132EA7DA.jpeg
 
Ninyi ni mataahira ukiweka hiki kibao maana yake unavyosema lane 2 (Nakuru 167km) iwe kweli hii lane inafika Nakuru maana yake kuwe na 4 lanes mpaka Nakuru

Mnasema lane 3 Eldoret 320km, lane 4 Mombasa 496km wakati kibarabara chenyewe mwisho km20 😅😅😅😅😅

Sasa hizo multiple lanes with that huge distances what for? Wakunya akili zenu kama za mbu tu 😕

View attachment 2184151
nime realize, hawa watanganyika wakiona hawana kitu flani yenye mwenzie anayo... wanaanza kuitafutia vijimakosa ndogo ndogo.... mara, oo.. the roads are unmarked, hee.. mara sasa sijui mpaka nakuru mbona sio 4lanes... mara ngeeeeeng mara ngooooong
 
nime realize, hawa watanganyika wakiona hawana kitu flani yenye wenzao anayo... wanaanza kuitafutia vijimakosa ndogo ndogo.... oo, mara, the roads are unmarked, hee.. mara sasa sijui mpaka nakuru mbona sio 4lanes... mara ngeeeny... mara ngooooong
😂😂😂😂 Hii barabara ya 4 lanes ni ya Thika na ina km 50 sasa hizo lanes zenye kilometers 467 ni za barabara ipi?

Eti lane 4 km 567? How?
 
Hii road furniture huwa inawekwa kutoa information kwenye highway yenye multiple lanes diverting into different routes ila sababu hamna barabara ya aina hiyo kwenye hiki ki 2 lanes mmeamua kuweka maneno ya wana motivational speakers instead of appropriate messages, mna safari ndefu mno

View attachment 2184010

Kwa sanabu hamna markings hapo ni lane moja
 
Taahira ni wewe na baba yako.Nimekwambia tuna vision inaishia 2025/2026 na Gwajima ka I site hiyo..

Utekelezaji wake unafanyika kwa k malengo ya kila miaka 5 na ina breakthrough kwa mwaka mmja mmja ..

Gwajima anataka iwe kwa miaka Zaidi ya hiyo..

As for me cha maana kabisa nilichokiona ni kwamba dira haijatungiwa sheria Ili kulazimisha regime kujikita huko,ndio jambo la msingi la kufanya sasa..

Hujaelewa afu unakurupuka tuu kama mkojo wa asubuhi.
nimekuita tahira sababu mtu katoa hoja nzuri ya kawaida na inayoeleweka ila wewe unaleta story zakishamba

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom