Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bora hata mngewawekea huu ujumbe murua kabisa hapo juu

View attachment 2184185
FB_IMG_16497070707418389.jpeg
 
Ninyi ni mataahira ukiweka hiki kibao maana yake unavyosema lane 2 (Nakuru 167km) iwe kweli hii lane inafika Nakuru maana yake kuwe na 4 lanes mpaka Nakuru

Mnasema lane 3 Eldoret 320km, lane 4 Mombasa 496km wakati kibarabara chenyewe mwisho km20

Sasa hizo multiple lanes with that huge distances what for? Wakunya akili zenu kama za mbu tu

View attachment 2184151
God! hapa tuna deal na mazuzu
 
which is which 🤣🤣🤣
ATCL is 100% owned by government of tanzania wewe unaongea kitu gani ??

ni sawa unatoka mfuko wa shati unaweka mfuko wa suruali 😂😂😂😂

naongelea kq ambayo ni maiti iko mortuary

kq owned 3 used aircrafts
17 loan from foreign bank not yet paid na kampuni ianendesha hasara 10 yrs now huku kila siku ikichukua loan juu ya loan
20 are leased from other airlines

usipende kukasirika ni aibu yenu lakini 🤣🤣
na ukibisha niambie mm nikupe dawa ya usingizi
 
naomba nikusaidie kukuonesha picha ya ukweli ya kipevu oil terminal😂😂😂😂 View attachment 2184425
kama nimekukosea bro unisamehe ilibidi nifanye hvo sina namna 🙏🙏🙏🙏
Ubaya yako ni kuwa na domo kubwa bila kuskia figures hata...
USD 40 Billion facility that can accomodate and discharge more than 2 ships at one given time..each with a tonnage discharge of 200,00 metric tonnes..
Hakuna mtu ameandika hii ndio kipevu oil terminal, that's a freaking poster dude!

Do you have a facility with such capacities? Ogopa sana
 
Ubaya yako ni kuwa na domo kubwa bila kuskia figures hata...
USD 40 Billion facility that can accomodate and discharge more than 2 ships at one given time..
Hakuna mtu ameandika hii ndio kipevu oil terminal, that's a freaking poster dude!
sasa domo langu liko wapo broo kusema ukweli ndio kosa langu 🤣🤣👇👇👇
C89E2109-A2F4-48FF-AF32-40458D686C6B.jpeg









kosa langu mm liko wapi bro au nisiseme ukweli basi ok basi haipo singapore iko kipevu mombasa sorry bro 😂😂🙏🙏🙏
BBC7AB3B-9D14-4BA7-8073-857BB43C59EE.jpeg











na hii iko singapore sio kipevu mombasa basi usikasirike bro nisharekebisha nilikosea mm
sipendi kukuona ukiwa na hasira bro 🙏🙏😂
7C5FB8C3-53F0-41C1-BE42-5360A6DE9783.png
 
Ubaya yako ni kuwa na domo kubwa bila kuskia figures hata...
USD 40 Billion facility that can accomodate and discharge more than 2 ships at one given time..each with a tonnage discharge of 200,00 metric tonnes..
Hakuna mtu ameandika hii ndio kipevu oil terminal, that's a freaking poster dude!

Do you have a facility with such capacities? Ogopa sana
hvi ww unaeza shindanisha tanzania na kenya kwnye suala la mafuta bro hvi kweli uko serious wewe ??🤣🤣🤣🤣

hata ukiangalia tanks za kuhifadhi munaeza kushindana kweli na dar ??

127227FA-D6DA-453F-8332-3F60BB2DBBB6.jpeg
 
Ubaya yako ni kuwa na domo kubwa bila kuskia figures hata...
USD 40 Billion facility that can accomodate and discharge more than 2 ships at one given time..each with a tonnage discharge of 200,00 metric tonnes..
Hakuna mtu ameandika hii ndio kipevu oil terminal, that's a freaking poster dude!

Do you have a facility with such capacities? Ogopa sana
US $40 bin unaota au? LAPSSET $25 bln mmeshindwa ku-raise hata $400mln! KunyaLand hiihii?
 
Back
Top Bottom