Katika nchi ambazo viongozi wake ni corrupt huenda Russia ikawa sawa kabisa na nchi za Africa.Viongozi wengi wa Russia wanaficha mali western wanakokula maisha.Pia Russia ilishakua juu ya nchi kadhaa ambazo sasa zimeiacha kama South Korea,Australia.Russia bila vikwazo ni moja ya nchi zilizoendelea sana despite na vikwazo bado ni taifa no 11 kwa GDP duniani.takataka unayozungumzia ww ni ujinga uliokujaa kichwani. Russia gdp of more than $1.4trill na pop ya 140M hawa watu wameendelea mara ngap zidi yenu?poor kenyan