Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Russia bila vikwazo ni moja ya nchi zilizoendelea sana despite na vikwazo bado ni taifa no 11 kwa GDP duniani.takataka unayozungumzia ww ni ujinga uliokujaa kichwani. Russia gdp of more than $1.4trill na pop ya 140M hawa watu wameendelea mara ngap zidi yenu?poor kenyan
Katika nchi ambazo viongozi wake ni corrupt huenda Russia ikawa sawa kabisa na nchi za Africa.Viongozi wengi wa Russia wanaficha mali western wanakokula maisha.Pia Russia ilishakua juu ya nchi kadhaa ambazo sasa zimeiacha kama South Korea,Australia.
 
Unajua watu wasiojua mambo yanaendaje duniani wanakuwa watu wa kukariri na wajinga sana! Juzi SWIFT imefungia Russia, unajua UnionPay wamekomba nyomi la ukubwa kiasi gani? Huu mgogoro utasambaratisha EU kitu ambacho the US na kuwadi wake UK wanataka! Naona Ujerumani wameanza kuiona hatari inayokuj
Hiyo Unionpay iko EU au Uk or US Usiniambie iko china ambako Russia anaexport ya US3biln wakati mchina wanexport Russia kwa more $10bil.Mzani wa biashara ya Russia na China hauko sawa tofauti kati ya Russia na western Countries ambako Russia anaexport zaidi Gas na mafuta na yeye anaimport technology na sophisticated products .Mgogoro wa Western na Russia atakayeumia ni Russia.Western na some of eastern Countries watapata shida in short period but wanaalternative.US ana Gas nyingi na anaweza kumfungilia vikwazo Venezula akaimport mafuta ya kutosha.Gas atakaye pata shida kubwa ni France na German na eastern countries ambazo zinautegemezi mkubwa UK na Italy hawawezi pata shida sana kwa kuwa kiwango chao cha utegemezi ni kidogo.Italy anatumia pia kiwango kikubwa cha Gas toka Algeria.
 
aky ni muziki tu pekee wajameni, hizo zingine zote ndo inaitwagwa po.p.porojo...

😆 hadi nimecheka yangu yote. eti wakenya wanafuatilia soccer ya tanganyika. infact ni mimi tu ndo najua yanga na simba nnn. eti pia siasa za tz..... kwenye siasa za tz, magufuli alijulikana huku kwasababu ya kuwauwa vifaranga zetu 6,000.! na pia kwasababu alikufia huku. mwingine ni tundu lissu, kwasababu alifurushwa na magaful, akaona heri aje kenya akatibiwe.. ni hayo tu kwa ss..
Utakuwa mtoto wa juzi juzi maanake wakubwa wanajua miaka ya nyuma cecafa cup ilivyokuwa kila mwaka gor mahia.afc leapard zilivyokuwa zinapambana na simba na yanga. Lazima uzijue simba na yanga kama sisi tunavyozijua gor mahia na afc leopard.
 
Hiyo Unionpay iko EU au Uk or US Usiniambie iko china ambako Russia anaexport ya US3biln wakati mchina wanexport Russia kwa more $10bil.Mzani wa biashara ya Russia na China hauko sawa tofauti kati ya Russia na western Countries ambako Russia anaexport zaidi Gas na mafuta na yeye anaimport technology na sophisticated products .Mgogoro wa Western na Russia atakayeumia ni Russia.Western na some of eastern Countries watapata shida in short period but wanaalternative.US ana Gas nyingi na anaweza kumfungilia vikwazo Venezula akaimport mafuta ya kutosha.Gas atakaye pata shida kubwa ni France na German na eastern countries ambazo zinautegemezi mkubwa UK na Italy hawawezi pata shida sana kwa kuwa kiwango chao cha utegemezi ni kidogo.Italy anatumia pia kiwango kikubwa cha Gas toka Algeria.
Peleka Upumbavu wa kutojua transaction zote za Russia za mauzo ya gesi, metals, silaha, technology na mafuta kwa nchi za EU n global zitakuwa wired kupitia CIPS ambayo ipo dunia nzima kama swift!

Usiwe zuzu wa kusema EU inaweza kuipa sanction Russia wakati ni main source of her energy needs. Tayari France na Germany wanapinga oil embargo!


 
Russia has totally failed to take over ukraine ,imagine this is the 13 day since they invaded but wame pata resistance ya hali ya juu...usisahau russia is ranked as super power country after USA..We were expecting an easier take over for russia .usisahau urusi pia ilikuja ikatandikwa Afghanistan..walipojaribu kuenda vita nao..usicheze na vita ya kujipatia uhuru kwenye nchi..Do you remember vietnam war when USA decided to invade the country uliona hio resistance walipata..i remember B52 plane venye zilibomb hio nchi ikabaki kama moon space..Trust me the longer it takes for russia to take over ukraine..the more complicate it will be for them.
but ujue ukraine iko na backup ya Nato. ata putin anashuku wanaweza kua wameshauvukisha zana za ki nuclear uku ki chinichini. hapo ndo wasiwasi mkubwa wa putin uliopo kwa sasa, kua kukiumana kabisa kabisa kwa ukraine, wanaweza kuachilia hicho kombora kwa wakati wowote... kuna venye putin ameanza kuingiza baridi na hii war kidesign
 
338FA0CF-19D9-4BBA-A6CE-636E47A9D8CD.jpeg
B19C6085-37AC-4089-8857-5E5524C39DF7.jpeg
 
Siasa za Tanzania hapana mzee. Hapo nimekataa kabisa. Isipokuwa Magufuli ambao Wakenya wengi walimkubali mwanzoni, Wakenya hawafuatilii siasa zenu. Ukienda kwa streets za Kenya umuulize Mkenya jambo lolote kuhusu siasa za TZ wengi hawana habari. Huo tu ndio ukweli.
Sasa ni mtaa upi Tanzania wanajua siasa za kenya? Ukiondoa hawa watu wa jf ambao population yao hata 1000 haifiki? Nenda twitter ya Kenya utapata kila habari ya Tanzania, nenda instagram ya Tanzania kama utaona chochote kuhusu Kenya
 
aky ni muziki tu pekee wajameni, hizo zingine zote ndo inaitwagwa po.p.porojo...

😆 hadi nimecheka yangu yote. eti wakenya wanafuatilia soccer ya tanganyika. infact ni mimi tu ndo najua yanga na simba nnn. eti pia siasa za tz..... kwenye siasa za tz, magufuli alijulikana huku kwasababu ya kuwauwa vifaranga zetu 6,000.! na pia kwasababu alikufia huku. mwingine ni tundu lissu, kwasababu alifurushwa na magaful, akaona heri aje kenya akatibiwe.. ni hayo tu kwa ss..
Utakua mpuuzi wa kubishana na ukweli mpaka lini wewe.? Tony ndio mkenya mstaarabu mwenye akili timamu na haongei uongo ijapojuwa ana kawaida ya kusahau na anajua niliyosema hapo yote ni ya kweli ametia shaka kwenye siasa tu.. lakini kila nilichosema hapo ni 100% true
 
😂😂😂😂😂 35,000 ksh jamani simutaua hawa watu

umaskini kenya hautaisha Tony254

Hio ni pesa nyingi sana kwa mtu wa boda boda ukizingatia bei ya bodaboda mpya kutoka China ni ksh 80,000 sasa ukimtoza faini ya ksh 35,000 si umemuuwa kabisa? Yaani nchi za Africa zinajua tu kunyanyasa masikini lakini matajiri wanaoiba mabilioni ya fedha wanaachiwa waendelee kuiba.
 
Wapi ulipoonesha kwamba elevated section imezidi 8km?
" The Expressway will run alongside the A8 from mlolongo to Nextgen where it will be raised above the A8 all the way to James Gichuru" Did you watch the video?
 
Achana na fake PowerPoint job

Kwa ground pako hivi
🤣🤣🤣🤣 Msiijue Tanzania wakati hakuna mziki wala movies zinatazamwa kunyaland isipokua za Tanzania? Kuna mkunya asiemjua diamond, alikiba, shusho, babalevo, mobetto, ambalulu? 😂😂😂😂

Lakini mtanzania kujua anything about kunyaland ni task


You even watch our news 🤣🤣 i only know TBC and i knew it from this forum. What makes you think we know your leaders apart from Suluhu and tundu lissu maybe nyerere ...
 
hii tu ndo takwamu ya kwanza.! i mean the very first one☝.. bongo inakaa kutuzidi, othws sijaai ona ingine. na kama iko, leta
Screenshot_20220308-155249_Chrome.jpg
 
Back
Top Bottom