Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

lakini kuna data accurate za Atomic Regulatory Body, ..think difference ni mia mbili tu.! its was 7,000 vs 6,800 in 2017. but sahizi ni around 6000 vs 5,800.. yani hakuna mwenye atakubali mwengine awe na nyingi zaidi, wataenda wote sambamba, kisa wanaogopana
Communist countries ain't stagnant
 
Hauna aibu kusema nairobi ni pori tupu na ukubwa wa dar kushinda Nairobi ila....

View attachment 2142644View attachment 2142648View attachment 2142645

Even though dar is more than double Nairobi, check out these satellite images and compare the two citiesView attachment 2142649View attachment 2142650View attachment 2142651View attachment 2142652
Wacha kujiabisha na viramani vya kuokota okota huu mjadala tulishamaliza kitambo sana Dar inwaka taa kuliko chochote hapa EA
😂😂😂😂I see you chose violence today! long may it continue
Naona unashabikia upuuzi kama kawaida yenu kenyans kusapitiana upumbavu
Watuambie mbona pori zetu ziko na lights whereas dreamhouses zao ni giza "tororo" 🤣🤣🤣
Haya nakutoa Tongo Tongo sasa .. Dar at night 👇
3047292_IMG_3531.jpg
E5NBwLPWEAAFiqY.jpg
Screenshot_20220308-024937_1.jpg
vs Nairobi at Night 👇
cknwtasw0aibxqe-jpg.2142771
Screenshot_20220308-025050_1.jpg
.. kwaakili zako ni mji gani hapo unawaka taa eneo kubwa zaidi kuliko mji mwingine.? Mana Dar picha inaonyesha taa zinawaka jiji zima and kama unavyojua Dar is two times larger than NAIROBI ambayo humo humo kuna mbuga za wanyama 😂😂

CkNwTASW0AIBXqE.jpg
 
Wacha kujiabisha na viramani vya kuokota okota huu mjadala tulishamaliza kitambo sana Dar inwaka taa kuliko chochote hapa EA

Naona unashabikia upuuzi kama kawaida yenu kenyans kusapitiana upumbavu

Haya nakutoa Tongo Tongo sasa .. Dar at night 👇 View attachment 2142764View attachment 2142767View attachment 2142772vs Nairobi at Night 👇
cknwtasw0aibxqe-jpg.2142771
View attachment 2142773.. kwaakili zako ni mji gani hapo unawaka taa eneo kubwa zaidi kuliko mji mwingine.? Mana Dar picha inaonyesha taa zinawaka jiji zima and kama unavyojua Dar is two times larger than NAIROBI ambayo humo humo kuna mbuga za wanyama 😂😂

View attachment 2142771
ahah.. 👐🏼siivo .. turudi kwa level playing ground... 1000km into the space
Screenshot_20220303-190956_Chrome.jpg
 
Wacha kujiabisha na viramani vya kuokota okota huu mjadala tulishamaliza kitambo sana Dar inwaka taa kuliko chochote hapa EA

Naona unashabikia upuuzi kama kawaida yenu kenyans kusapitiana upumbavu

Haya nakutoa Tongo Tongo sasa .. Dar at night 👇 View attachment 2142764View attachment 2142767View attachment 2142772vs Nairobi at Night 👇
cknwtasw0aibxqe-jpg.2142771
View attachment 2142773.. kwaakili zako ni mji gani hapo unawaka taa eneo kubwa zaidi kuliko mji mwingine.? Mana Dar picha inaonyesha taa zinawaka jiji zima and kama unavyojua Dar is two times larger than NAIROBI ambayo humo humo kuna mbuga za wanyama 😂😂

View attachment 2142771
Sasa hii pia unataka kupingana kwamba Nairobi inawaka zaidi kushinda Dar? Tafuta battle ambazo unaweza kushinda. Usishindane na ndovu kunya utapasuka msamba.
 
The only time i hear about tanzania is on this forum 🤣🤣🤣 hao niliona wanatu discuss day in day out(saw some trends on Twitter nashangaa nairobi and kenya huwa ina trend huko)...majority of kenyans including my own friends know nothing about tz including simple facts like they still think Dar is the capital..who talks about TZ really...save for when something trends like tundu lissu getting shot or ule jamaa wa "ooliskia wapi" 🤣

View attachment 2142657
well put bro.. most kenyans barely knows anything thts going on down there... not even their current president. we never discuss tanzania here. but i hear kenya trends in tanzania like hell..!! in almost all media platforms per se. imagin kenyans still think dar es saalam as the capital and not dodoma. its only the few of us here in this forum that are now well vast with what tz realy is. but prior to me coming here, i totaly knew nothing.! what mostly sell tanzania here is their music artistes, nothing else. once they release a track, their first stop is kenya. look at diamond platnumz and ali kiba or even rose muhando and maria susho. we never see any tanzanian manufactured products or even their companies here. tanzanians here are stereotyped as beggars or they came to look for greener pastures. you'll never find any kenyan bigger in a tanzanian street, thought here in this forum, they realy claim tht we live in shanties and slums. then why do they come to beg in the first place.....?

yatafakari hayo 🤔🤔
 
Kwan korona bado ipo au ndio bizness as usual
It's not just a corona vaccine center it's a VACCINE CENTER there will be research for other vaccines and medical researchers will be doing there researches there. It will be the biggest in Africa if not the only one I believe. So that puts Kenya as a research hub for Africa. Usijali majirani tutakuwa tunawaita mjifunze pia nyinyi kidogo Kwa lab zetu mpya 😊
 
There will be lots of researches in other diseases like ebola, HIV, polio and the like. Our own will gain alot in the experience too. Lots of job opportunities we represent the whole of Africa now in mRNA researches
 
Back
Top Bottom