Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

well put bro.. most kenyans barely knows anything thts going on down there... not even their current president. we never discuss tanzania here. but i hear kenya trends in tanzania like hell..!! in almost all media platforms per se. imagin kenyans still think dar es saalam as the capital and not dodoma. its only the few of us here in this forum that are now well vast with was tz realy is. but prior to me coming here, i totaly knew nothing.! what mostly sell tanzania here is their music artistes, nothing else. once they release a track, their first stop is kenya. look at diamond platnumz and ali kiba or even rose muhando and maria susho. we never see any tanzanian manufactured products or even their companies here. tanzanians here are stereotyped as beggars or they came to look for greener pastures. you'll never find any kenyan bigger in a tanzanian street, thought here in this forum, they realy claim tht we live in shanties and slums. then why do they come to beg in the first place.....?

yatafakari hayo
Kiujumla watz hawajui chochote kuhusu Kenya.. Nyiny ndio mnajua Amber ruttView attachment 2142991View attachment 2142992View attachment 2142993View attachment 2142995View attachment 2142994
Screenshot_20220308-085012.jpg
 
i swear before god.. sisi wakenya hatunanga shugli na maisha ya majirani zetu, lakini watanzania (sio tu hapa jf, kote yani) na pia kiasi waganda wanajisumbua sana na kenya, na chochote kinacho endelea huku.yani mko na machungu sana na sisi....
kisa,
jealousy.. just because you seem not to understand how kenya, a small country, but almost always continue to outshine you in almost all fronts..
Weka ushahid, hko YouTube Nyiny ndio mnaofatilia mambo ya tz wabongo hawana chakufatilia kenya
 
Achana na fake PowerPoint job

Kwa ground pako hivi
Msiijue Tanzania wakati hakuna mziki wala movies zinatazamwa kunyaland isipokua za Tanzania? Kuna mkunya asiemjua diamond, alikiba, shusho, babalevo, mobetto, ambalulu?

Lakini mtanzania kujua anything about kunyaland ni task

Hii video ilifanya wakenya kuanzisha kampeni za kususia nyimbo za tz
 
Hii video ilifanya wakenya kuanzisha kampeni za kususia nyimbo za tz
Mziki huwezi susia ni ujinga tu mbona nazizi, wahu , nameless , prezoo na jua kali waliweza sikika kipindi hicho , au yule wily Paul alijulikana kiasi . Kwa mfano otile brown sijui hata nyimbo yake moja . Ukiimba vizuri utaoboa tu . Khaligraph Jones anajulika kiasi . Wengine siwajui kutoka kenya at least niliowataja nishisikiaga wakiamba . Sasa mziki wa kenya umeshuka nadhani wanaiga sana wasanii wa nje ndio maana hawasikiki
 
Mziki huwezi susia ni ujinga tu mbona nazizi, wahu , nameless , prezoo na jua kali waliweza sikika kipindi hicho , au yule wily Paul alijulikana kiasi . Kwa mfano otile brown sijui hata nyimbo yake moja . Ukiimba vizuri utaoboa tu . Khaligraph Jones anajulika kiasi . Wengine siwajui kutoka kenya at least niliowataja nishisikiaga wakiamba . Sasa mziki wa kenya umeshuka nadhani wanaiga sana wasanii wa nje ndio maana hawasikiki
Walikua wanalalamika wanatufatilia halaf sis hatuna habari na wasanii wao.. Badae wakaibuka kina Erick akajikuta Mussa
 
BREAKING: Russia approves list of countries who've taken 'unfriendly actions' against it, including:

  • Australia
  • Canada
  • EU
  • Iceland
  • Japan
  • Monaco
  • Montenegro
  • New Zealand
  • Norway
  • Taiwan
  • San Marino
  • Singapore
  • S Korea
  • Switzerland
  • Ukraine
  • UK
  • US

All are developed nations not TAKATAKAs kama poor Russia.
Russia bila vikwazo ni moja ya nchi zilizoendelea sana despite na vikwazo bado ni taifa no 11 kwa GDP duniani.takataka unayozungumzia ww ni ujinga uliokujaa kichwani. Russia gdp of more than $1.4trill na pop ya 140M hawa watu wameendelea mara ngap zidi yenu?poor kenyan
 
Russia bila vikwazo ni moja ya nchi zilizoendelea sana despite na vikwazo bado ni taifa no 11 kwa GDP duniani.takataka unayozungumzia ww ni ujinga uliokujaa kichwani. Russia gdp of more than $1.4trill na pop ya 140M hawa watu wameendelea mara ngap zidi yenu?poor kenyan
Chukua GDP ya jirani which is said to be $109 billion alafu ugawanye kwa GDP ya mrusi 1.4 trillion 😂😂😂 hawa wapumbavu wa Kenya wanajikuta akina nani hasa.?
 
Russia bila vikwazo ni moja ya nchi zilizoendelea sana despite na vikwazo bado ni taifa no 11 kwa GDP duniani.takataka unayozungumzia ww ni ujinga uliokujaa kichwani. Russia gdp of more than $1.4trill na pop ya 140M hawa watu wameendelea mara ngap zidi yenu?poor kenyan
Wewe wacha ujinga. Wapi hapo amelinganisha Russia na Kenya? Mbona una akili maji hivyo? Yeye amelinganisha Russia na nchi hizo zilizowekwa kwenye list. Na huyo Mkenya yupo 100% correct kwamba Russia ni takataka ukiilinganisha na hizo nchi zilizo kwenye hio list. Usiweke maneno kwa mdomo yake. Hakuwa analinganisha Russia na Kenya. Tumieni akili wakati mwingine. Point ya huyo BlietzKrieg ni ya Ukweli kwamba Russia bado ni middle income country na nchi zote ambazo ziko kwenye hio list ni developed countries. Hapo anadanganya wapi? Mpinge kwa point aliyotoa sio kumpinga kwa point ambayo hakusema.
 
Back
Top Bottom