NairobiWalker
JF-Expert Member
- Oct 31, 2012
- 16,386
- 17,968
Na wewe je? Wewe ni mustaarabu? Watanzania wenzako humu ni wastaarabu?Utakua mpuuzi wa kubishana na ukweli mpaka lini wewe.? Tony ndio mkenya mstaarabu mwenye akili timamu na haongei uongo ijapojuwa ana kawaida ya kusahau na anajua niliyosema hapo yote ni ya kweli ametia shaka kwenye siasa tu.. lakini kila nilichosema hapo ni 100% true