Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wacha ujinga najua izo nchi zimeendelea sana lakini sio zote zimecross gdp per capital ya $50k,to be precise Uk,Japan ziko somewhere btn $30k-$40k
So what? UK na Japan zina gdp per capita ya $40,000 so what? Hio haibadilishi argument kwamba Russia ni masikini ukiilinganisha na hizo nchi za magharibi.
 
IMG_0797.jpg

Dodoma
 
Hivi tony ww unaweza survive na $1800 kwa mwaka mzima?hela kiduchu namna iyo unaishije? Kenya is poor as tz ila hali ni mbaya zaidi tz
Hio pesa ni mapato ya Mkenya na Mtanzania wa kawaida. Sio mimi na wewe. Mtanzania anayepata mapato ya chini kama hio hawezi kuafford hata data bundle kila siku ya kuingia hapa JF. Na wala hawezi kupata muda wa hata dakika chache ya kuingia JF kila siku maana yupo busy kutafuta tonge la kila siku. Kazi ya ofisini au ya kujiajiri angalau unaweza kupata muda kidogo. Kwa kiasi kikubwa amini usiamini, watu wengi walio JF kimfuko hawako vibaya sana kwa maana watu walio vibaya na wala hata shule hawakuenda na hata kuandika pekee ni tatizo, isitoshe kuafford smart phone ni tatizo. So wewe na mimi sio watu wa kawaida na wala usidhani kwamba Mtanzania wa kawaida anaweza kupata muda wa kupoteza humu. So hizo average income za gni per capita ni average tu. Kuna watu wengi sana wanapokea mapato chini au juu ya hio average.
 
Siasa za Tanzania hapana mzee. Hapo nimekataa kabisa. Isipokuwa Magufuli ambao Wakenya wengi walimkubali mwanzoni, Wakenya hawafuatilii siasa zenu. Ukienda kwa streets za Kenya umuulize Mkenya jambo lolote kuhusu siasa za TZ wengi hawana habari. Huo tu ndio ukweli.
Tony nakuhakikishia 99.9% ya watanzania hawajui chochote kuhusu Kenya, na sio tu kuhusu Kenya bali hawana habali na haya mataifa ya EA, watz wanajua zaidi kuhusu nchi za America na Ulaya kuliko nchi za ki Africa huo ndiyo ukweli, nyinyi wakenya mnajua mengi kuhusu Tz na ndiyo maana media zenu na wakenya kwa ujumla mmekuwa mkiifuatilia Tz na kuipaka matope. Kuhusu siasa ndiyo kabisa yani watanzania hawajui chochote kuhusu siasa za Africa na hawawajui kabisa wanasiasa wenu,mm mwenyewe nimemjua juzi juzi tu hapa deputy president wenu baada ya mzozo na Kenyatta, ukiacha deputy na President hakuna kiongozi ninayemjua huko Kenya niwe mkweli, yani hata jaji wenu au Spiker wa bunge kenu simjui na hata ukiwauliza watanzania wa humu asilimia kubwa hawamjui, lkn nyinyi mnamjua Rais wetu, Makamu wake, waziri mkuu mpaka Spika Tulia na mtangulizi wake Ndugai mnamjua sema kama uongo.
 


40% of Global Nickel and Titanium supply come from Russia!
Na wageni na civilian walivyoruhusiwa kuondoka hadi Jumatatu Ukraine kutakua kuna majivu sehemu nyingi kabla rais wao astep down mapema. Siombei mabaya lakini urusi hawana huruma watapiga sana .

Halafu sijui kwa nini raisi wao asikubali matokeo anaomba NATO wafanye anga Lao no fly zone means ,They failed to protect by themselves. Akubali hili kulinda infrastructure zao
 
Tony nakuhakikishia 99.9% ya watanzania hawajui chochote kuhusu Kenya, na sio tu kuhusu Kenya bali hawana habali na haya mataifa ya EA, watz wanajua zaidi kuhusu nchi za America na Ulaya kuliko nchi za ki Africa huo ndiyo ukweli, nyinyi wakenya mnajua mengi kuhusu Tz na ndiyo maana media zenu na wakenya kwa ujumla mmekuwa mkiifuatilia Tz na kuipaka matope. Kuhusu siasa ndiyo kabisa yani watanzania hawajui chochote kuhusu siasa za Africa na hawawajui kabisa wanasiasa wenu,mm mwenyewe nimemjua juzi juzi tu hapa deputy president wenu baada ya mzozo na Kenyatta, ukiacha deputy na President hakuna kiongozi ninayemjua huko Kenya niwe mkweli, yani hata jaji wenu au Spiker wa bunge kenu simjui na hata ukiwauliza watanzania wa humu asilimia kubwa hawamjui, lkn nyinyi mnamjua Rais wetu, Makamu wake, waziri mkuu mpaka Spika Tulia na mtangulizi wake Ndugai mnamjua sema kama uongo.
Wanasiasa unaweza wajua labda uhuru , ruto kwa sababu ya kugombea , sonko sababu ya kashfa zake na Raila odinga alikua friend wa late Magufuli . Na joho kwa sababu aliimbwa na ali Kiba. Wengine hapana lakini kenya hadi piere liquid alikua super star, pia Seleman bungara aka bwege anajulikana kenya kuliko bongo
 
Joe Biden leo anatarajiwa kutangaza kwamba USA watawacha kabisa kununua mafuta na gesi kutoka Russia.
 
Yaani hii kauli inawapa motisha watu wapandishe vitu bei hata ambao uzalishaji wao hauusiki na mafuta!

Naona bado hajui mamlaka ya kauli ya Rais na effects zake!
Hatari sn aisee yn huwezi kuongea hivyo mkuu wa nchi mana kuna watu wanasubiria kauli kama hizi wafanye yao sokoni,dah tumepatikana kwakweli, hii ngoma tukienda nayo mpk 2030 tutakuwa hoi bin taaban.
 
First of all, you are not substanciating the size of any of those maps with a scale.
Secondly, the satellite image of Dar looks more clear, i can make out streets and highways whereas the Nairobi one is totally not clear, this should show you that the Nairobi image was taken at a higher elevation or zoomed higher than the latter...
Nairobi ni ndogo kwa Dar mara mbili na ukweli ni kwamba Dar inawakaa taa mji mzima, kwahyo hata kama tutapata picha itakayoonyesha NAIROBI kwa ukaribu bado Dar itashinda kwasababu it's lager than Nai, sababu ingine NAIROBI ni green kwahyo maeneo mengi huwezi ona taa usiku alaf pia ndani ya NAIROBI kuna misutu, mbuga n.k .. sasa itakuaje iwake taa eneo kubwa kuliko Dar ilihali Dar hakuna pori wala msitu ni nyumba zimetapakaa mji mzima.. heb ona hapa 👇.. huwezi bishana na ukweli ambao unahitaji macho tu kuujua
E5NBwLPWEAAFiqY (1).jpg
3047292_IMG_3531 (1).jpg
 
Na wageni na civilian walivyoruhusiwa kuondoka hadi Jumatatu Ukraine kutakua kuna majivu sehemu nyingi kabla rais wao astep down mapema. Siombei mabaya lakini urusi hawana huruma watapiga sana .

Halafu sijui kwa nini raisi wao asikubali matokeo anaomba NATO wafanye anga Lao no fly zone means ,They failed to protect by themselves. Akubali hili kulinda infrastructure zao
ni mpumbavu ndo madhara ya kuchagua comedian kuwa Rais badala ya seasonal Politician! Unajua jamaa alikuwa mchekeshaji kama Joti!
 
military giants wawili wanatishiana ngumi.. huku mchumi wa dunia China anawacheck tu huku anacheka..
China atacheka vipi ilhali bei ya mafuta inapanda kila siku na China ndio world's biggest importer of oil? Kila mtu anaumia hata sisi Waafrika tutaumia kwa sababu ya bei ya mafuta kupanda.
 
China atacheka vipi ilhali bei ya mafuta inapanda kila siku na China ndio world's biggest importer of oil? Kila mtu anaumia hata sisi Waafrika tutaumia kwa sababu ya bei ya mafuta kupanda.
China hajazuia Russia consignment getting to China and as a matter of fact the two countries share the border!
 
Back
Top Bottom