Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mama Tanzania,the Beautiful land 👇

Screenshot_20220221-111704.png
 
unexposed tanzanians who never travel outside tz think they are something while in reality they still have a long way to go
Eti mtu ako tu serious anatrash Karen! Karen of all the places!
 
Wewe tofauti yako na kondoo ni harufu.

Sasa juu wewe ni kondoo unadhani kila mtu ni kondoo humu!

Mkiambiwa mfanye tafiti kabla ya kuokota okota picha kondoo hamsikii.
Tena ziliharibiwa kwa kukosa phytosanitary documents na zilikuwa tani 3.5 kondoo wewe.

Huyo minister tayari ashafungua maghala ya kuuza chakula Sudan kusini na Congo, sasa hivi yuko kwenye hatua za kufungua ghala la kuuza chakula Mombasa kondoo wewe.

Kenya nzima hakuna minister anayemfikia huyo minister kondoo wewe.

Level zenu ni hizi kondoo wa kienyeji wewe.

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Huyu minister Ni takataka tu,
Wapi proof Ni picha ya 2020!
Anajua nchi imejaa makondoo akisema anything watakubali kama watoto!
Mkuu hata sisi wakulima wa parachichi tunajua hiyo ilikua mwaka juzi na toka hapo parachichi za Tz hazikuingia SA hadi walipokaa mezani mwaka Jana 2021 na SA kukubali tena kuanza biashara .Hazikua za TZ na za Kenya pia.Kioichosabisha ni watu kuchuma parachichi zilizokua hazijakomaa.
 

Nakumbuka juzi kati hapa kuhusu mjadala wa hiki na kile cha MFV kilivyozua taharuki, nakumbuka niliwaambia tulieni, acheni mihemko kabla hamjapata full information, I still belive kwenye SGR we got the best deal. Na kwa hili Serikali ya JPM inastahili pongezi kwa kujifunza kwa makosa ya jirani zetu.
 
Back
Top Bottom