Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

tanganyika have all the rights to beat us in terms of purchasing power parity (ppp), due to their big size of population,.. but you still however find that, we still beat them in this mode of gdp. ie. $250b vs $200b
👇👇👇👇zawad yako kwa leo
 
JPM alikuwa kipanga wa wapi? .

Uzuri ni subjective.

Hakuna Rais wa kumzidi Samia kwa mambo aliyofanya mwaka mmja wa uongozi,narudia hayupo .
Huyo aweza kujaza vyoo white house tu hakuna kitu kibaraka wa WAHUNI ADUI WA UZARENDO ,MZANZIBARI MPUUZI...
Cheki wafanyakazi hewa wamesha fika 3400 serikalini ndani ya mwaka mmoja tu,
 
Raisi mzuri sana hajawahi kuwepo tz enzi za Nyerere watu walisuffer sana,Nchi ilikua gizani mno kipindi hicho...Bado tuna safari ndefu sana watz..Hii nchi ambayo mtandao wa barabara zenye lami/zege haujafika nusu ya mtandao mzima wa barabara hata robo bado inaumiza sana
Akili yako mbovu wakati wa uhuru hakukuwa hata na barabara wala simu kama sasa wala umeme wala elimu watz asilimia zaidi ya 90 walikuwa awajui kusoma wala kuandika ,katika hali kama hiyo ulitegemea uchumi gani zaidi ya kufanya matayarisho
 
Yani hat uwaelezee vipi hawa mazombie hawakuelewi.

Waache tu wafe na roho zao mbaya. Mama hata mwaka hajafikisha...bado anamiaka 9.....mwinyi nao. ....duh niishie hapo hapo. Nisije peleka mtu ICU
Kitimtim atakacho kutana nacho mama akijaribu kugombea 2025 sijui itakuwaje,siku hiyo atajua kuwa yeye ni mzenji
 
tanganyika have all the rights to beat us in terms of purchasing power parity (ppp), due to their big size of population, the way china beats united states for instance.. but you still however find that, we still beat them in this mode of gdp. ie. $250b vs $200b. yani we beat tanganyika from every angle, 'missionary and even bendover'
 
This is veeeery good. Tunataka eco free technologies. BRT roads zetu zikiwekewa train za umeme (Trams) itapendeza zaidi. Nadhani hili likitekelezeka kuna watu hapo North watauana kwa ajili ya TZ. We Tz always look ahead brilliantly. HATUKURUPUKI.
Geza Ulole aliwai kunipinga kwenye ili wazo la tram kwenye brt
 
Kwani wanaofanya kazi NSSF ni kina nani? kama ni hivyo watu wangenunua magari then watu wapande bure. Sasa shirika kama NSSF likitoa pesa zake na kutoa bure wewe unaona ni akili. Hii pesa inazunguka humuhumu. Bila shaka wewe mlupo utakua na matako makubwa sio kwa reasoning ya namna hii
Mbona za mjapan mnapita bure km sio ulofa ni nini
 
"Kimara yao ni kama Posta yetu" Baba Levo
FKk382jWUAEHOZB.jpg
 
Lete data Tanzania tunazalisha 7M tonnes za mahindi kwa mwaka, na tunatumia "almost 6M tonnes, ninyi mnazalisha 3M tonnes na mnatumia 4M tonnes.

Kumbuka Tanzania we consume what we produce, and produce what we consume, but stupid countries do produce what they don't consume (Flowers), and consume what they don't produce(food), as the result of their stupidity, they beg Chinese for food donations
Kwhyo unakataa km kenya tuna consume vitu vingi sana kuwaliko
 
Imagine ndio tuje tupate dude kama hili toka France, Walahi mungiki wataanzisha fuyo (fujo) Kunyaland wakidai na wao wanataka kama ya TZ.
View attachment 2125488
Ni wazo zuri tatizo mama hana mipango yeye husemq anacho ambiwa na wazungu na kutuambia kuwa ndiyo mpango wake ,kama ili la tram au mabasi ya umeme ,hivyo amekuwa akidandia dandia mambo asiyo yadhamilia katika dhati ya mojo wake ,mfano ni lile la kushushwa kwa bei ya kuunganishiwa umeme kwa wote kuna video ina mwonyesha mama anawahutubia wana nchi akijisifu yeye na serikali yake kuwa wamewashushia wananchi gharama ya kuunganisha umeme nchi nzima , je nini kimetokea baada ya muda mfupi anakuja kubatilisha hicho kitu, yani ni kudanda danda tu kama nyani
 
Only Mkunya at her true colors will be trying to compare a toll that is meant to repay back the money lent by NSSF Tanzania to a toll by chinese on a claimed free land along the Nairobi expressway!
Lkn kw mjapana bure hakuna toll sio
Alafu expressway inakuuma kumbe, yani hyo ni ppp kiufupi linapokuja swala la maendeleo kw upande wetu mnakutwa na presha za ghfla..
 
Kwa sisi ambao hatupendelei mambo ya siasa sasa RASMI hili jukwa halituhusu tena wabongo ile kasi ya kupost miradi ya maendeleo imeshuka sasa nikupost screenshots za mama kwa sasa kwenye hii battle wakenya wapo mbele yetu. Ni dhahiri siasa inatugawa sasa tunabishana wenyewe na hata kutukanana wenyewe Daah mambo yamebadilika sanaa kwasasa hata sijiamin kuchangia chochote humu mara kumi nikaangalie juma lokole amesema nini jukwaa la celebrities.
Wakenya kwa sasa hatuwawezi tena ,maana kasi ya JPM ILIWAFANYA NAO WAONGEZE BIDII ,SASA BAHATI MBAYA SISI TUMEPOTEZA KAMANDA WETU WA KIUCHUMI NA MZALENDO WA KWELI MAMBO YAMEHALIBIKA ,bora huu uzi tutumie kukosoana na kutukanana labda mambo yatakaa sawa
 
Back
Top Bottom