Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hela inayo kaa bure ina maana ilikua haina kazi, we sema wapiga dili walicheza dili wakachors ramani na ikaingiliana na kuamua kujitengezea mrija wa kunyofoa kw miaka kadhaa..

Nikikuuliza hivi una tipoti yyte ile kuhusu hzo returns, serekali yenu imeshindwa na nini kulipia wananchi wapite bure..si nyie mnajali wanyonge bana hivi imekuaje daraja la kwenda kw wanyonge liwe mnalipia toll..
Poleni sana
We ningekua karibu na wewe wala nsingekua na haja ya kuomba papuchi, ningeanza tu kukushikashika na kuzamisha njunjunju. Baada ya hapo utaaanza kusoma na kuelewa.

Swala liko hivi, kutumia pesa za watu haimanishi hawapati faida, na faida ndio chanzo cha watu binafsi kuwekeza nchini kwao. Sasa wewe unataka kisa mtu kapata idea ya kupata faida serikali imnyang'anye kisa watu wasilipe? Sisi tunachosema ni bora hio fee inarudi kwa waTanzania waliofikiria. Kuna wengine wana mahospitali za bei kubwa, mashule ya bei kubwa kuliko za serikali nao basi serikali izinunue ili watu waate kwa bei ndogo.

Wawekezaji wa services mbalimbali sio mtu mojamoja kuna hadi ushirika wa maknisa mfano Tumaini universities & schools under Lutheran Church
 
Sidhani kama hili ni wazo zuri, haya mabasi ni ghali na yatatengeneza utegemezi zaidi kwa wafaransa.

Tulishakuwa na mpango wa kutumia mabasi ya gesi, tungeweza hata kutumia kampuni zetu za ndani kuchongesha bodi na kutengeneza mabasi ya kutumia gesi.
Sema mama angeomba transfer of knowledge kwa engineers wa TZ ili kuepusha huo utegemezi
 
wee kwenda huko 1kg sugar ni 130/- (tsh 2,600) nimenunua jana naivas
Maisha Kenya ni magumu usipinge, ndio maana wakenya wengi wanaomba wangezaliwa Tanzania

Screenshot_20220221-062151.png
 
Si huwa komora096 NairobiWalker wanakesha humu wakipayuka bidhaa za Tanzania ni ghali kuliko Kenya? Sasa kimewasibu nini? Mafuta ltr 1 ni 6,600

MK254 na Tony254 husema wao wana service economy mambo ya kilimo walishavuka ndio maana hawalimi



Overpriced , sio kila store in kenya unaenda kununua bidhaa..wao wenyewe hao wamepiga picha tu wala hawakununua

20 litres ni ksh 3000 na hapo imepanda
Screenshot_20220221-110729_Samsung%20Internet.jpg
 
Kikwete ni kiongozi bora aliyeleta mwamko mpya kwenye sector binafsi ni kipindi chake sekta binafsi ilikua sana uongozi nauchumi sio kugusa vitu vichache na kudunda navyo it is wide and integrative phenomenon.Angeweza kutumia vilungu kuzima ukosoaji lakini kwa ni kiongozi wa kileo hakutaka kuingia huko kama JPM huku akijua umaarufu wake ungeingia hatarini.JPM alipambana kumzima umaarufu ili watu wapoteze legacy ya aliyepita ni kawaida katika uongozi kutumia mbinu ili watu waondoke kwenye kivuli cha mtangulizi.In my opinion JK anabaki kua bora kwenye uchumi japo kulikua na madhaifu kadhaa but that is humanity.
Acha siasa chief, uongo mtupu. Turudi kwenye kupost projects
 
Una vituko wewe jamaa,kwa hiyo wewe ulisomea Kiswahili? Weka vyeti vyake kuanzia O level na A level na mimi nikupe vyangu.

Kusoma Sayansi ndio nini? Nyerere na MKapa walisoma science? Wale rekodi zao zipo na walikuwa bright na kuongoza darasani.Za Mwendazake ziko wapi?

Kipanga hawezi foji PhD

kubali tu kuwa wewe ni kilaza
Kila sehemu huwa watu wanatamba kwa namna yake, hata skuli..
Na ukweli Mchungu ni kuwa huwezi kuwa kilaza darasani ukasoma science,
Huwezi kuwa kilaza ukawa daktari, mfamasia au engineer .
Sisi tulimudu masomo yote ya kiswahili, history, Phisics, Maths, Chemistry na ndio maana tulikuwa na uwanja mpana wa kuchagua, and of course tukasoma science ili vilaza kama nyie mkiumwa msikufe ili miendelee kushea humu miradi ya maendeleo ambayo hufanywa na wanasayansi.
 
Back
Top Bottom