Wakati mnaiga kuongea kama Watanzania mzingatie accuracyKiswahili nilichoandika ni cha Kenya boss, we are not in the habit of copying Tanzanians, lol.
Mkuu kama uko honesti hapa JF ndio sehemu tunayotakiwa kupiga kelele muungano uvunjike, zenji ni parasite anaetunyonya damu kwelikwelitatizo nn? Hata kule wanahitaji pia! Hata kipindi cha mwendazake wao waliona kila fedha inaenda Mwanza na Geita pia!
Mtaalam hili dogo kuliko yaliyopo chini ya pazia. Mimi msimamo wangu ni tupige kelele muungano uvunjike kila mtu aende na hamsini zakeTuvumilie tu na katiba letu bovu lililoasisiwa kuongoza watu wasiojua kusoma wala kuandika.
Tupo ktk kipindi kibovu kabisa kuwahi kutokea na sidhani kama kitatokea tena labda miaka 1000 ijayo, incompetence at its best.
WEWE KWANZA UNAJUA SPORT PESA ILIYONUNUA HILO BASI NI KAMPUNI YA KENYA??gor mahia inamiliki nini??😂😂😂😂
View attachment 2122209
LAKINI YEYE HUENDESHA MOJA AKISAFIRI?
HII PICHA IMEPIGIWA MBALI SANA....SASA UNAWEZA KUILINGANISHA HII BARABARA NA KALE KA UBUNGO KENYA KALIWATOA KAMASI.....BABA LEVO ANAKAITA KIJILIMA AU BICHI KIDI....MBWIYani wamechimba chimba cjui wamechimba nn, ka barabara kanakoenda kukutana na hiyo mitaro waliyochimba ni kembamba, huku pembeni shimo, katikati shimo, kulia shimo, kushoto shimo, I bet engineers ni wakunyaView attachment 2122688
HII NI MITAA YA MABANDA
NISHAELEWA MBONA WA TZ WANA AKILI NDOGO...KUMBE VUMBI IMEWAJAA KWA UBONGO....WAA.... SASA HIVI NDIO KUSEMA TUKO SAFARINI TWAJA.....FUJO KWELI
wacha ujinga wa ubaguzi wewe! Kwahiyo Chato haikutunyonya?Mkuu kama uko honesti hapa JF ndio sehemu tunayotakiwa kupiga kelele muungano uvunjike, zenji ni parasite anaetunyonya damu kwelikweli
kazi iendelee
Nani alikuambia nataka kuja bongo? Unadhani wewe ukija Kenya na hicho chako cha 'nirimuambia ahalakishe' utasurvive?kwa kiswahili hiki mkija bongo mtaliwa
leta evidence Sport Pesa imenunua hilo basi! Na mbona isinunulie timu ya Kunyaland?WEWE KWANZA UNAJUA SPORT PESA ILIYONUNUA HILO BASI NI KAMPUNI YA KENYA??
Only Mkunya at her true colors will be trying to compare a toll that is meant to repay back the money lent by NSSF Tanzania to a toll by chinese on a claimed free land along the Nairobi expressway!Barabara ya NSSF
Mtz lazima alipe kodi hapo km sio ujinga ni nini...
Huvuki hapo bila ya kulipia ksh150View attachment 2123882
Fool, hivi kati ya anayepokea msaada wa chakula na anayepewa pesa ni yupi fukara?
Wakombozi wa Africa sai naona mama mnatembeza bakuli kila mahaliMkunya naona Kawivu kameingia hebu leta evidence kwamba the EU walifukunzwa!
Kibera Nairobi MGR
![]()
wakati nyie Kunyaland mnakufa na njaa mmebaki mkiomba chakula!Wakombozi wa Africa sai naona mama mnatembeza bakuli kila mahali