Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Only Mkunya at her true colors trying to compare a toll that is meant to repay back the money lent by NSSF Tanzania to a toll by chinese on Nairobi Nairobi expressway!
Swali ni mnalipa toll fee hama hamlipi? Si ndio nyinyi juzi mmesema hapa eti kulipa toll fee ni ushamba?
 
Only Mkunya at her true colors trying to compare a toll that is meant to repay back the money lent by NSSF Tanzania to a toll by chinese on àlNairobi Nairobi expressway!
Swali ni mnalipa toll fee hama hamlipi? Si ndio nyinyi juzi mmesema hapa eti kulipa toll fee ni ushamba?
 
NISHAELEWA MBONA WA TZ WANA AKILI NDOGO...KUMBE VUMBI IMEWAJAA KWA UBONGO....WAA.... SASA HIVI NDIO KUSEMA TUKO SAFARINI TWAJA.....FUJO KWELI
Wewe cjui huwa unatumia kilevi gani wewe kama co gundi, nyie ndio wanya hovyo kwenye mifuko alafu mnairusha juu pale Nairobi.
 
Sasaivi wazungu wanavyoinunua kimyakimya tutaipoteza tu au tutaendelea kuwapa service za kunyonywa
Kwanza hawa wazenji kumamae zao wabaguzi kinoma utakuta nyumba za wabara wanapanga bila masharti yoyote, lkn wakipata kujenga nyumba zao wanataka waishi peke yao, hawa wasenge cku yao ipo jikoni inachemka.

Hakuna kuvunja muungano ni kisiwa chetu kile na ni mali yetu halali kabisa ila atatokea Rais ataondoa Rais na baraza la mawaziri kule mana upumbavu unaanzia hapo.
 
Kweli mzee muuangano unafaa uangaliwe upya singependa uvunjike kwa sababu ya muingiliano wa watu kati ya bara ya visiwani ila Kuna vipengelee vinafaa vibadlishwe ili zenji iwe kama mkoa tuu wote twende sawa Ndio ata kama wakipeleka miradi kibao uko kunaondoa maswali kama haya mm sina tatizo fedha zikipelekwa uko kwa wingi kwa sababu ni watanzania wenzangu
Sure, ila swala la mkopo $500 M then $400 inapelekwa bara watu 59M na ushee = TZS 15,000/= for every citizen huku zenji ni $100 kwa watu 1.7M = TZS 135,000/= for every citizen. Hii sio sawa kabisa. Na italipwa kwa resources za bara
 
Infrastructure.

IMG_4847.jpg
 
wacha ujinga wa ubaguzi wewe! Kwahiyo Chato haikutunyonya
Nakubali chato ilitunyonya haswa sisi uchagani ndio tulisahaulika kabisa ila ni kwa muda na sio kama sasa zenji wanakula parefu sana but zenji ni kirusi kinatutafuna tangu 1964. Mimi silalamikii mtu kuvutia upande aliotokea sema isiwe sanaaa. Maana akijifanya mgumu kule ni kwao na ndio watakaosaidia vizazi vyake, kuwafervor ni muhimu ila zenji haihitaji fervor maana miaka nenda rudi wanakuafervored
 
Hehehee!!ukweli mchungu sana
Kenya tuna consume vitu vingi sana kuwaliko
Lete data Tanzania tunazalisha 7M tonnes za mahindi kwa mwaka, na tunatumia "almost 6M tonnes, ninyi mnazalisha 3M tonnes na mnatumia 4M tonnes.

Kumbuka Tanzania we consume what we produce, and produce what we consume, but stupid countries do produce what they don't consume (Flowers), and consume what they don't produce(food), as the result of their stupidity, they beg Chinese for food donations
 
Mkuu jibanze kwenye ukuta ulio gizani na ukae kimya binafsi hili jukwaa kwangu limepunguza mvuto maana mama amekuwa mama hii misaada na mikopo ikitushinda kulipa utasikia bandari ya dar umechukuliwa na zanzibar haitoguswa na kwa nchi zetu hizi ambazo hazina mfumo imara wa sheria sijui kama zanzibar inalipa kama inavyopokea
Hawalipi wale kazi yao ni kutafuna tu
 
NAMPENDA SANA NA KUMHESHIMU RAIS SULUHU...MAWAZO YAKE YAMEKOMAA SANA NA STYLE YAKE YAUONGOZI NI FIRST CLASS YAANI KAMA WAKENYA VILE....ABARIKIWE SANA HUYU MAMA...
Ukiona unashabikia au kupinga uongozi wa nchi tofauti na nchi yako, ujue hiyo nchi lazima inakugusa kiuchumi, kiusalama na kijamii, kifupi hiyo nchi ni superpower kwako.
 
Barabara ya NSSF
Mtz lazima alipe kodi hapo km sio ujinga ni nini...
Huvuki hapo bila ya kulipia ksh150View attachment 2123882
Kwani wanaofanya kazi NSSF ni kina nani? kama ni hivyo watu wangenunua magari then watu wapande bure. Sasa shirika kama NSSF likitoa pesa zake na kutoa bure wewe unaona ni akili. Hii pesa inazunguka humuhumu. Bila shaka wewe mlupo utakua na matako makubwa sio kwa reasoning ya namna hii
 
Lete data Tanzania tunazalisha 7M tonnes za mahindi kwa mwaka, na tunatumia "almost 6M tonnes, ninyi mnazalisha 3M tonnes na mnatumia 4M tonnes.

Kumbuka Tanzania we consume what we produce, and produce what we consume, but stupid country do produce what they don't consume (Flowers), and consume what they don't produce(food), as the result of their stupidity, they beg Chinese for food donations
Kwa punch hizi kwnn wasichukie
 
sasa chakula gani mko nayo apart from Mahindi na mihogo? Alafu si jiwe alisema nyinyi ni Donna cantreee vipi tena mnatembeza bakuli kila mahali kutafuta msaada
Waulize Rwanda watakuambia kuhusu chakula ya Tanzania
 
Back
Top Bottom