Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Bro kabla Tanzania au Rwanda kujenga barabara ya juu 27km ndani ya capital city zao itakua next century, wewe utakua mzoga kama magufuli View attachment 2125279
Hiyo barabara ni 8 km tu ziko juu yaani viaduct! Kunyaland haina uwezo wa kujenga 27 km of viaduct!

A section of the road from Mlolongo all the way to NextGen Mall, a distance of 18.2 kilometres and which is ongoing, will be a flatbed road, while the section from Nextgen Mall through the City-Centre to St Marks church, covering 8.2 kilometres, will be elevated.
https://www.kenyanews.go.ke/construction-of-nairobi-expressway-on-top-gear/
 
Hiyo barabara ni 8 km tu ziko juu yaani viaduct! Kunyaland haina uwezo wa kujenga 27 km of viaduct!
Hawataki kusikia ukweli huu kwasababu ni waongo, wakiweka picha ya expressway ya mchina wanaweka kasehemu kalikoinuka ambacho ni only 8km lkn wanataka kuongopea watu kwamba expressway ya mchina ni yote imeinuka
 
I don`t expect you to understand what`s going on there juu Dar hakuna pavements.
Pavement na Nairobi wapi na wapi, hyo expressway ya mchina tu na wameshindwa kufanya pavement, wameiacha Kama ilivyo cz wameona ndiyo utaratibu wa wakunya, yn ma flyover yote ya Kunyaland hakuna pavement chini, yanakaa Kama choo aisee, inakera kweli aisee.
 
Pavement na Nairobi wapi na wapi, hyo expressway ya mchina tu na wameshindwa kufanya pavement, wameiacha Kama ilivyo cz wameona ndiyo utaratibu wa wakunya, yn ma flyover yote ya Kunyaland hakuna pavement chini, yanakaa Kama choo aisee, inakera kweli aisee.
It`s sad that I`m engaging a known mad man. Good night and fight your demons alone, please.
 
Tram zinakuja kwenye BRT, majirani mjiandae kuja kushangaaView attachment 2125259
This is veeeery good. Tunataka eco free technologies. BRT roads zetu zikiwekewa train za umeme (Trams) itapendeza zaidi. Nadhani hili likitekelezeka kuna watu hapo North watauana kwa ajili ya TZ. We Tz always look ahead brilliantly. HATUKURUPUKI.
 
This is veeeery good. Tunataka eco free technologies. BRT roads zetu zikiwekewa mabasi ya umeme (Trams) itapendeza zaidi. Nadhani hili likitekelezeka kuna watu hapo North watauana kwa ajili ya TZ. We Tz always look ahead brilliantly. HATUKURUPUKI.
Na wasitegemee kwamba tutawasubiri wamalize expressway ya mchina hell no! Sisi tunaweka kuni tu
 
Na wasitegemee kwamba tutawasubiri wamalize expressway ya mchina hell no! Sisi tunaweka kuni tu
Imagine ndio tuje tupate dude kama hili toka France, Walahi mungiki wataanzisha fuyo (fujo) Kunyaland wakidai na wao wanataka kama ya TZ.
Trams.JPG
 
Kwa sisi ambao hatupendelei mambo ya siasa sasa RASMI hili jukwa halituhusu tena wabongo ile kasi ya kupost miradi ya maendeleo imeshuka sasa nikupost screenshots za mama kwa sasa kwenye hii battle wakenya wapo mbele yetu. Ni dhahiri siasa inatugawa sasa tunabishana wenyewe na hata kutukanana wenyewe Daah mambo yamebadilika sanaa kwasasa hata sijiamin kuchangia chochote humu mara kumi nikaangalie juma lokole amesema nini jukwaa la celebrities.
 
Nigeria yenye GDP kubwa kuliko South Africa







please please.. kila mara unapo angalia gdp ya nchi flani, zingatia pia na idadi ya watu.! mfano nigeria kwa south africa itakua ushuzi sababu ya uwingi wa watu wengi saaana.!. 211m$490b vs 58m$415b.. ni wapi na wapi.?

kenya kwa tz haitakua ushuzi sababu tz 61m$65b, vs 47m$109b.. ni wapi na wapi.?

less kenya ingekua na 100m+ pple kama vile ethiopia, mungekua na sababu kamili ya kuikandamiza ukubwa wa gdp yetu kama ushuzi. lakini kwa sasa, younger brother anaizidi bigger brother kwa kila jambo. sio idadi ndogo sio uchumi mkubwa..

shida kubwa tuliyo nayo kwenye huu uzi ni kwamba, inakua ngori sana waTz humu kukubali matokeo ata kama ni wazi kabisa..

....🤔 tafakari ya babu
 
Kwa sisi ambao hatupendelei mambo ya siasa sasa RASMI hili jukwa halituhusu tena wabongo ile kasi ya kupost miradi ya maendeleo imeshuka sasa nikupost screenshots za mama kwa sasa kwenye hii battle wakenya wapo mbele yetu. Ni dhahiri siasa inatugawa sasa tunabishana wenyewe na hata kutukanana wenyewe Daah mambo yamebadilika sanaa kwasasa hata sijiamin kuchangia chochote humu mara kukumi nikaangalie juma lokole amesema nini jukwaa la celebrities.
kabisa yaani kuna watu wanazingua sana humu,wanatuletea siasa za kijinga

Sent from my SM-A025F using JamiiForums mobile app
 
Imagine ndio tuje tupate dude kama hili toka France, Walahi mungiki wataanzisha fuyo (fujo) Kunyaland wakidai na wao wanataka kama ya TZ.
View attachment 2125488
Sidhani kama hili ni wazo zuri, haya mabasi ni ghali na yatatengeneza utegemezi zaidi kwa wafaransa.

Tulishakuwa na mpango wa kutumia mabasi ya gesi, tungeweza hata kutumia kampuni zetu za ndani kuchongesha bodi na kutengeneza mabasi ya kutumia gesi.
 
Back
Top Bottom