Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Brt infrastructure kama zinatengeneza faida kwann wasitumie domestic revenue maana hela yake inaonekana anaendelea kukopa tu? Huo mkopo wangeweza boresha nao eneo lingine lenye changamoto zaidi mfano...kuna maeneo ya uzalishaji njombe ndanindani sijui ni wilaya gani ile hawana barabara za lami au kilombero uko wangewapa wananchi hamasa kuwaboreshea izo barabara au kule wanakolima miti ya kuvuna mufindi nk
Shida BRT ikianza Lazima iishie ili izalishe haiwez kutumika nusu nusu..ila lami unaweza ukajenga kidogo dogo kadiri ya funds
 
Jamaa cku hz takwimu zimewageuka, kila takwimu tunawachapa
ok... 🤔🤔🤔 bora wee ndo umesema...
so leo atimaye mme kubali kua huaga tunawachapanga kwenye kila takwimu, ila hii pekeyake.! ok. I🤔

👆🏽👆🏽 kanairo hebu ntoo upesi uskie hii 😆😆😆😆😆😆😆😆
 
gor mahia inamiliki nini??😂😂😂😂
382197D6-988C-4086-8BC1-F65017B3059B.jpeg
 
ok... bora wee ndo umesema...
so leo atimaye mme kubali kua huaga tunawachapanga kwenye kila takwimu, ila hii pekeyake.! ok. I

kanairo hebu ntoo upesi uskie hii
Hehe......these tanzanians are mentally incapacitated. Don't waste so much time arguing with them.......
 
Do you know how much $ Kunya will need to electrify the rail line from Mombasa to Nairobi ?
Those rail lines aren’t same idiot.

We are not electrifying any time soon. Cargo trains are still overwhelmingly diesel around the world.
Our SGR is 98% cargo.

Nyinyi na ujuaji wa Magufuli, trying to outdo Kenya, built an unnecessary passenger SGR, ndio mujione na shiny trains.
There is no economic sense building a 'high speed' electric passenger train in a country where 90% are struggling for their next meal.
Hizo wachieni Europe.
 
Back
Top Bottom