Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tatizo lenu mlikua mnajipendekeza kwa wazungu wakati sisi tuliwakumbatia waafrika weusi, Sasa hivi tunatengeneza $1B kwa mwaka Kama faida, lazima tufurahi kwasaba Sasa hivi tunapata mavuno ya damu yetu iliyomwagika, punguzeni wivu kidogo
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Bongolala bana 😂😂😂...mnawafukuza alafu mnarudi tena huko huko kuomba msaada kwasababu ya ufukara?

20220219121315.jpg
 
Punguza ujinga, huu ujinga wenu wa kusema Mambo ya uongo bila ushahidi Peleka huko Kibera, Tanzania tunakula mahindi na mchele mwingi kuliko ninyi wakenya, Tanzania kwa mwaka tunazalisha 7M tonnes of maize, 90% tunatumia wenyewe, Kenya mnazalisha "only 3M tonnes of maize.
Hehehee!!ukweli mchungu sana
Kenya tuna consume vitu vingi sana kuwaliko
 
naomba ruksa nipost bila filter plz mm niliwaambia hapa mombasa haitoboi hata kwa ukucha kwenye modern city kwa mwanza never ever na bahat nzuri miji yote miwili naijua kindaki ndaki ww huna chakusema
Emu post tuzione
Jamaa anakataa kipande kilichochukulia na video ya 4k
 
Kama isingelikuwa hii miradi na njia alizotengeneza Jemedari tungekuwa hoi kabisa shimoni.

Hakuna dira tunarandaranda tu mara huku mara kule pasipo kufuata ratiba, yn unalala leo kesho ukipigiwa simu huyo umeenda, huna ratiba hueleweki yn una act km kibarua asiyejua kesho itakuwaje, mamikopo mikopo yasiyo tija, mwishowe tutakuwa kama Kenya na hawa wasenge wanaotetea humu wote hutawaona wewe subiri uone.
Jemedari wa kidudu nyonyo
 
Hvi wadau ni mimi tuu Ndio naona au na nyie uko pia ,kila mKopo unaokopwa lazima upelekwe zenji so far tangu maza aingie madarkani almost trilioni moja ishapelekwa zenji sasa naulizaa wale walikua wanasema jpm ni mkabila alikua anapendelea Chato tuu sasa ili swala la maza wanalizungumziaje? ? Fedha zilizopelekwa zenji kwa mwaka mmoja ni nyingi kuliko zilizopelekwa Chato kwa kipindi cha miaka mitano
Yule pimbi aliweka msingi wa kwako kwanza.kafundisha na wengine.alikuwa fala sana
 
Back
Top Bottom