The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,485
- 98,537
Simu yangu yenye zile picha imepasuka kioo, km sivyo ningeshaitag muone jinsi jamaa walivyo hawana akiliPost ile picha nicheke kidogo.![]()






Simu yangu yenye zile picha imepasuka kioo, km sivyo ningeshaitag muone jinsi jamaa walivyo hawana akiliPost ile picha nicheke kidogo.![]()






Kazi gani ikamilike wkt hapo ilipo ishakamilika tayari na ndiyo inakaa handaki km hivyo, nyie wakunya hamna uwezo wa kujenga vitu classic km Tz, yani interchange moja ya Tz gharama yake ni sawa na interchange 10 KunyalandWacha kazi ikamilike wacha kuropokwa na Tanzania ina interchange mbili tu pekee nchi mzima.







Kumbe hatukosei tunaposema wakenya kiuchumi wapo vizuri kuliko watz, municipality na kunakaa kumechoka hvo
Yani cha maana ni stendi makazi upupu, yani raia wananchi kiuchumi zero
Ka interchange kadogo lkn kanamaliza mwaka ss hakajaisha, kanajengwa na wafungwa kule Kenya, wanaweka tofali moja moja kwa kutumia mikono unadhani itaisha leoPost ile picha nicheke kidogo.![]()






Turkana inaishi mifugo.View attachment 2122704View attachment 2122705View attachment 2122706kama miji ya Tz kunaishi maskini, huku Lodwar kunaishi kina nanai.?Huku si wanaishi wanyama.? Australopithecus
bado hawaja graduate to highest stage of human evolution
View attachment 2122707heb ona hapa
View attachment 2122708View attachment 2122709
![]()
Kwhyo kenya hakulimwiee, acha kujidanganya wewe hta ule wakati unaskia kenya inahitaji chakula especially mahindi huaga ni surplus ndio tunahitaji..Ila wakuu kwenye kilimo mnafeli sana kupewa msaada toka China ilihali mna GDP kubwa ambayo ingeweza kuwa reflected kwenye production Capacity.
Siri ya Tanzania kua wa food surplus ni mchanganyiko wa wazalishaji,mfanyabiashara naye analima,mfanyakazi naye analima,mkulima naye analima,peasant naye analima tunakutana sokoni.
Kenya Arable land yote mliwapa wakoloni wanalimia maua,chai na kuchungia ng'ombe na hawewezi achia kwa ajili ya kuzalisha chakula.Fanyeni mchakato wa kuirutubisha ardhi inayotazamwa kama semi arid kua ardhi ya kilimo.it is possible.
Ukimwambia aweka Turkana anaweka barabara inayopita Turkana, kwahiyo watu wanaishi kwenye hyo barabara









Interchange kadogo ndio hii, the only one in Tanzania mzima. 🤣🤣🤣🤣🤣Ka interchange kadogo lkn kanamaliza mwaka ss hakajaisha, kanajengwa na wafungwa kule Kenya, wanaweka tofali moja moja kwa kutumia mikono unadhani itaisha leo![]()
Watu wanalala kwenye hii high way sindio.? 😂😂😂
AmekasirikaView attachment 2122704View attachment 2122705View attachment 2122706kama miji ya Tz kunaishi maskini, huku Lodwar kunaishi kina nanai.?Huku si wanaishi wanyama.? Australopithecus
bado hawaja graduate to highest stage of human evolution
View attachment 2122707heb ona hapa
View attachment 2122708View attachment 2122709
![]()



Wacha kujitetea.🤣🤣🤣 Lodwar town ikona barabara poa kuliko Mwanza.Ukimwambia aweka Turkana anaweka barabara inayopita Turkana, kwahiyo watu wanaishi kwenye hyo barabara
Turkana inaishi mifugo![]()
Kwn tz watu wanaishi stendi na kwenye majengo ya serekaliUkimwambia aweka Turkana anaweka barabara inayopita Turkana, kwahiyo watu wanaishi kwenye hyo barabara
Turkana inaishi mifugo![]()



Umeona world class interchange hiyo? Ss thamani yake hyo unapata vi interchange 10 Kunyaland.Interchange kadogo ndio hii, the only one in Tanzania mzima.
![]()
Unaumwa.🤣🤣🤣Watu wanalala kwenye hii high way sindio.? 😂😂😂
Wacha mambo ya barabara, weka nyumba na maisha ya Lodwar kiujumla.Wacha kujitetea.Lodwar town ikona barabara poa kuliko Mwanza.
We ni mefiiii. 😅😂Umeona world class interchange hiyo? Ss thamani yake hyo unapata vi interchange 10 Kunyaland.
Kwahiyo haya ni majengo ya serikaliKwn tz watu wanaishi stendi na kwenye majengo ya serekali
Manake hko ndio hu post sana








Mana hauwezekani nakwambia upost mji, alaf unapost barabara 😂😂, sasa ni kwamba watu wanalala kwenye hiyo barabara.?Unaumwa.🤣🤣🤣
Watu mpanda wanalala stendiMana hauwezekani nakwambia upost mji, alaf unapost barabara, sasa ni kwamba watu wanalala kwenye hiyo barabara.?

