Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wacha kazi ikamilike wacha kuropokwa na Tanzania ina interchange mbili tu pekee nchi mzima.
Kazi gani ikamilike wkt hapo ilipo ishakamilika tayari na ndiyo inakaa handaki km hivyo, nyie wakunya hamna uwezo wa kujenga vitu classic km Tz, yani interchange moja ya Tz gharama yake ni sawa na interchange 10 Kunyaland
 
Kumbe hatukosei tunaposema wakenya kiuchumi wapo vizuri kuliko watz, municipality na kunakaa kumechoka hvo
Yani cha maana ni stendi makazi upupu, yani raia wananchi kiuchumi zero
maxresdefault(96).jpg
Lodwar-1.jpg
Lodwar.jpg
kama miji ya Tz kunaishi maskini, huku Lodwar kunaishi kina nanai.? 😂😂 Huku si wanaishi wanyama.? Australopithecus 👇 bado hawaja graduate to highest stage of human evolution 😂😂😂
Australopithecus-afarensis-rendering-Artist.jpg
heb ona hapa 👇
_106062344_img_1857.jpg
_106083319_12.jpg
😂😂😂😂
 
Ila wakuu kwenye kilimo mnafeli sana kupewa msaada toka China ilihali mna GDP kubwa ambayo ingeweza kuwa reflected kwenye production Capacity.

Siri ya Tanzania kua wa food surplus ni mchanganyiko wa wazalishaji,mfanyabiashara naye analima,mfanyakazi naye analima,mkulima naye analima,peasant naye analima tunakutana sokoni.

Kenya Arable land yote mliwapa wakoloni wanalimia maua,chai na kuchungia ng'ombe na hawewezi achia kwa ajili ya kuzalisha chakula.Fanyeni mchakato wa kuirutubisha ardhi inayotazamwa kama semi arid kua ardhi ya kilimo.it is possible.
Kwhyo kenya hakulimwiee, acha kujidanganya wewe hta ule wakati unaskia kenya inahitaji chakula especially mahindi huaga ni surplus ndio tunahitaji..

Ukumbuke tuna consume kuwaliko licha ya nyie kuwa na population kubwa...
Usidanganywe na mtu bana, kenya wakulima wa ndani wapo sema tu serekali haitaki kutilia maanani ukulima kw sababu ukiangalia sana kwenye irrigation schemes hazifanyi vizuri lkn bado serekali..

Bura tana irrigation scheme inauwezo wa kulisha kenya nzima sema tu bado viongozi hawana hamu nazo sijui au nisemeje..

Galana kulalu nayo ndio usiseme, hayo mabo eti ardhi amepewa mkoloni peleka hko..
Wale wanalipa kodi km dangato anavyofanya kule mtwara
 
Ka interchange kadogo lkn kanamaliza mwaka ss hakajaisha, kanajengwa na wafungwa kule Kenya, wanaweka tofali moja moja kwa kutumia mikono unadhani itaisha leo
Interchange kadogo ndio hii, the only one in Tanzania mzima. 🤣🤣🤣🤣🤣

Kenya Is Ahead of Nigeria In All Aspect (Facts Don't Lie) - Foreign Affairs  (8616) - Nigeria
 
View attachment 2122704View attachment 2122705View attachment 2122706kama miji ya Tz kunaishi maskini, huku Lodwar kunaishi kina nanai.? Huku si wanaishi wanyama.? Australopithecus bado hawaja graduate to highest stage of human evolution View attachment 2122707heb ona hapa View attachment 2122708View attachment 2122709
Amekasirika
Population ya nothern kenya inacheza 700k ya kenya nzima na majority yao wanaishi kw nyumba za blocks..
Kenya ina watu 49m ukumbuke hilo..
 
Back
Top Bottom