Imeendelea kwa mdomo tu. One city country.Tz kuna miji mingi imeendelea kuliko Kenya huo ndio ukweli hata wakilia.
Imeendelea kwa mdomo tu. One city country.Tz kuna miji mingi imeendelea kuliko Kenya huo ndio ukweli hata wakilia.
Bagamoyo.Pwani town ndio gani?![]()
mwanzo nilidhani safari rally, kumbe busi.! 😆. malimwengu haya!
Hii ndio huwa mnailinganisha na Mwanza?
dar to mpanda ni 1,176.4km waambie wakenya walete sehemu yenye km hata 500 to nairobi halafu ucheke na ujionee vitukoTz kuna miji mingi imeendelea kuliko Kenya huo ndio ukweli hata wakilia.



Hii ndio huwa mnailinganisha na Mwanza?Hii ndio huwa mnailinganisha na Mwanza?
Barabara ipo kwenye ujenzi hiyo
Maslums kama yoteHii ndio huwa mnailinganisha na Mwanza?
![]()
Yani sikosei kabisa nikisema watanzania kiuchumi uraiani mpo hoi


We mbona unapenda uongo uongo, ujinga huo wa kusema uongo tuliushaukataa hapa..Yani sikosei kabisa nikisema watanzania kiuchumi uraiani mpo hoi
Sasa huo nal mji..
Alafu usijisahaulishe, mkipost dodoma huaga mnapost majengo ya serekali, mpanda mnapost stendi, sumbawanga mnapost barabara lkn kenya ikipost barabra mnapiga kelele
Km huu ndio mpangilio bora basi mna safari ndefu sana


Kabisa, wapanga miji kwao wamezembea sana..sasa hyo town haina kichwa wala mikia walai, administrative center ni wapi social centers zipo wapi business center pia haielewekiKijiji hii.Towns zenu hazina modernity hata kidogo.


Heb leta village center yenye mpangilio na lami kama hivyo uko kwenu tuone hapaKm huu ndio mpangilio bora basi mna safari ndefu sana![]()
Hawa majamaa bado wanatembelea vumbi hko mikoani
Mbona unalazimisha.? Hiyo sio townKabisa, wapanga miji kwao wamezembea sana..sasa hyo town haina kichwa wala mikia walai, administrative center ni wapi social centers zipo wapi business center pia haieleweki![]()
MwanzaHii ndio huwa mnailinganisha na Mwanza?

