komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Ni Gold digger tu. Don’t get me wrong. I respect women, lakini ukweli usemwe tu Maana hata talent ya uigizaji hana. Huyo Sio mfano wa kuigwa kwenye suala la economic prosperity ya mwanamke wa kitanzania. Taja watu kama Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi. Yes, she married a rich guy, but she owns an award winning interior design company and she’s probably one of the richest women in the country! Women who hustle are just something else!
Ila wakuu kwenye kilimo mnafeli sana kupewa msaada toka China ilihali mna GDP kubwa ambayo ingeweza kuwa reflected kwenye production Capacity.Kenya huaga tunatikisa dunia, uchumi wa mabasi ukiwafikisha huku ni tagView attachment 2122630View attachment 2122631
😂😂, Heb ngoja nikutoe Tongo tongo, them village centers zinakaa tz 👇. MPANDA MUNICIPALhivi ndio city inaanzaga na class,south neighbours wanashangaa ilitokeaga wapi⚡
Kwa maeneo ya hio road,flats na estates zitaanza kurauka walai🔥🔥
Ukiwa na akili timamu huwezi kutumia nguvu wakati akili unayo...Uhuru wenyewe mlifanya kugaiwa km peremende joto la jiwe
Kenya ilipambana achana na nyie wakombozi mlioshindwa kujipambania wenyewe mpka nchi mkapewa bure
Watu ambao naeza sema walitumia akili kw upande wa tz ni maji maji tuUkiwa na akili timamu huwezi kutumia nguvu wakati akili unayo...
Si tulitumia akili tu mjomba
We unajua nini kuhusu historia ya Tanzania mpaka kupewa uhuru wetu.?Watu ambao naeza sema walitumia akili kw upande wa tz ni maji maji tu
Kumbe hatukosei tunaposema wakenya kiuchumi wapo vizuri kuliko watz, municipality na kunakaa kumechoka hvo, Heb ngoja nikutoe Tongo tongo, them village centers zinakaa tz
. MPANDA MUNICIPAL View attachment 2122637View attachment 2122638View attachment 2122640View attachment 2122641View attachment 2122642View attachment 2122643View attachment 2122645View attachment 2122646View attachment 2122648vijiji vya Tz viko na proper bus terminus than the entire Kenya
.. SUMBAWANGA
View attachment 2122651View attachment 2122652View attachment 2122653View attachment 2122654View attachment 2122655
![]()
View attachment 2122656


We kwan hujuiWe unajua nini kuhusu historia ya Tanzania mpaka kupewa uhuru wetu.?
Hii ndiyo ile mlikuwa mnaiita Changamwe interchange?

























ndiyo mana huwa hawaipost humu 





Hajui chochote mwache tu.We unajua nini kuhusu historia ya Tanzania mpaka kupewa uhuru wetu.?
Heb leta turkana tuone hapa tuchekeKumbe hatukosei tunaposema wakenya kiuchumi wapo vizuri kuliko watz, municipality na kunakaa kumechoka hvo
Yani cha maana ni stendi makazi upupu, yani raia wananchi kiuchumi zero
Turkana inaishi mifugo.Heb leta turkana tuone hapa tucheke
Wacha ujinga kama Uwoya ni gold digger, Jacqueline anaepuka vp na hiyo tag?Ni Gold digger tu. Don’t get me wrong. I respect women, lakini ukweli usemwe tu Maana hata talent ya uigizaji hana. Huyo Sio mfano wa kuigwa kwenye suala la economic prosperity ya mwanamke wa kitanzania. Taja watu kama Jacqueline Ntuyabaliwe Mengi. Yes, she married a rich guy, but she owns an award winning interior design company and she’s probably one of the richest women in the country! Women who hustle are just something else!
Wacha kazi ikamilike wacha kuropokwa na Tanzania ina interchange mbili tu pekee nchi mzima.Yani wamechimba chimba cjui wamechimba nn, ka barabara kanakoenda kukutana na hiyo mitaro waliyochimba ni kembamba, huku pembeni shimo, katikati shimo, kulia shimo, kushoto shimo, I bet engineers ni wakunyaView attachment 2122688
Hii ndiyo ile mlikuwa mnaiita Changamwe interchange?
Mbn iko tofauti kabisa na render
Yani Kenya ni nchi ya kipumbavu sn na raia wake pia ni wapumbavu wasiojua ku reason, inakuaje render iwe tofauti na uhalisia? Tena tofauti kabisa km mbingu na ardhi![]()


