NDINDA
Platinum Member
- Apr 4, 2011
- 10,726
- 49,572
So kama ni Chinese company hatuwezi assemble? Mbona huwa unareason kama mtoto? We assemble Scania buses and lories yet Scania is a Swedish company. If Tanzania have no capacity to assemble vehicles usitulamu tafadhali.
No hate Bwana mapesa uache dharau, Kama hujui sio kwamba na sisi hatufanyi vitu mnavyofanya, mi nilideal na dharau zako kuhusu ku import wakati unazungumzia Kitu amabacho na nyinyi mna Import.


.
.
. Hakuna tozo za kibeberu at Tanzanite bridge.