chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,316
- 45,125
Liganga na mchuchuma ulikua na ufisadi wa karne, kama sio JPM kuurudisha kwenye drawing board ulikua ni unyonyaji mwanzo mwisho, mradi ambao mtausikia kwenye Bomba baada ya muasisi wake kuondoka ni huu wa hydroelectric dams ambazo kwa pamoja kama zingejengwa zingeweza kuingiza megawatts 400 kwenye national grid
Waliopo sasa hawataki miradi ya namna hii sababu haina upenyo wa upigaji
Mradi ulikua tayari kwenye preliminary stages, Magufuli angekua leo na ujenzi ungekua tayari umeanza
