Let me tag you juu najua hatakutag🤣🤣na akikuonesha nitag bro 😂😂😂
acheni tu nicheke 😂😂😂😂😂😂😂
Anko una umri gani???Scania lories are being assembled AVA Mombasa, lorries zinakuja Tz pia zinakuwa assembled uko.
hii ndio picha hua munakuja kutudanganya nayo hapa 🤣🤣🤣🤣🤣 yani mwenye scania hajuia assembly plant in kenya anaijua south africa ila wakenya 🙌🙌🙌🙌 yani bado muna uongo ule ule wa maiaka 20 mukidhani dunia haijui
where is assembly plant of scania outside south africa 🤣🤣🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂😂 hawa watu waone hvi hviAnko una umri gani???
Jibu hata kwa range eg. 22-29
mm nakwambia assembly plant ya scania africa iko south africa hakuna nchi nyingine na haitokei kwa sas 😂😂😂😂😂Scania uses AVA to assemble their lorries an kama hupendi unaezajinyonga🤣🤣🤣
Wil knowing my age save you from witchcraft?Anko una umri gani???
Jibu hata kwa range eg. 22-29
Nataka tukubaliane one thing. Are Scania trucks and buses being assembled in Kenya or not?mm nakwambia assembly plant ya scania africa iko south africa hakuna nchi nyingine na haitokei kwa sas 😂😂😂😂😂
hii arusha moja pia tunaijua....uheheheh kisumu gani ile nisiyoijua mm au umesahau mzee![]()
Yani unapingana hadi na picha? Kweli umelaaniwa😂😂hii ndio picha hua munakuja kutudanganya nayo hapa 🤣🤣🤣🤣🤣 yani mwenye scania hajuia assembly plant in kenya anaijua south africa ila wakenya 🙌🙌🙌🙌 yani bado muna uongo ule ule wa maiaka 20 mukidhani dunia haijui
Anko nmekuuliza kiroho safi tu wala sina nia ya kubishana au kujibizana na wewe...Wil knowing my age save you from witchcraft?
ati second largest town......issa throwsi basi wangoja nn, si ule hio cbd so we compare with kisumu cbd? View attachment 2100660
Anafikiri gari ni square pipes na flatbars wanazotumia kutengenezea yale masufuria yao
![]()





MasufuriaWanapenda vitu vzr uwezo hawanaMbona haya mabasi yenyewe ya BYD mmeimport kutoka China. Kuna nini chenu hapo zaidi za kuandika hayo maandishi ya Hiyo Start up
BYD is the Chinese company and is the world largest Electric Vehicle Manufacturer. Angalia duniani kote wanaotumia electric Buses nyingi wameuziwa na BYD
View attachment 2100419
View attachment 2100420
Nyie Bus lenu hili hapa chini na mnatakiwa mfanye mambo kwenye upande wa Design
Hili ndio labda mjipongeze mmefabricate wenyewe.
View attachment 2100424




Kenya assembles, Tanzania imports from us🤣🤣🤣
Ndivyo wakunya walivyo, anaongopa alafu anaskilizia mkikaa kmy anajiona kashinda zen kesho anarudia tena vile vile, kuna mda huwa tunakaa kmy tu Mana ni kichefuchefu hata kujibu upuuzi kama ule.Anataka kusema hayo mabus wametengeneza wenyewe au? Hii ni sawa na zile hela alizodownlod.
Anataka kusema BYD ni yao, Au kuna ki kampuni kinanunua hayo mabus kuyatumia Kenya. Na ana Audacity kukandia nchi nyingine eti import wakati wao nao wanabeba kila kitu China. Backward country inajengewa kila kitu na Nchi nyingine. Kweli ule usemi umetimia. NYANI HAONI KUNDULE
.