Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania hakuna vehicle manufacturers. 😂😂😂 Na unataka kunifunza kuhusu topic ambacho hukifahamu wala hukielewi.
Ndio hatuna manufacturers lakini ndio wenye gari nyingi ukanda huu 🤣🤣🤣🤣

Screenshot_20220117-134516.png
 
Tanzania hakuna vehicle manufacturers. 😂😂😂 Na unataka kunifunza kuhusu topic ambacho hukifahamu wala hukielewi.








 
Acha upuuzi unaanzaje kitu kipya wakati hujamaliza kilichoanza.Serikali ni moja tu mbona tumlisifu JPM kwa kumalizia Terminal 3,Kigamboni bridge,BRT,Kuendeleza TAZAM highway,Kuundeleza taasisi ya Moyo ya kikwete,Japo aliua mradi wetu wa Mchuchuma na Liganga.
Magufuli alikuwa anaanzisha vitu vipya kila kukicha mfano bus terminal hospital ,airport kufufua mashirika ya ndege na meli kufufua reli zote nk sasa tuonyeshe hata vision mpya ya mama zaidi ya kufufua ukabila na uchifu mafiii,kufufua ujambazi ,kufufua rushwa ,kufufua mgao wa umeme, kufufua ukilitimba maofisini ,kufufua kutembeza bakuri kwa mabeberu ,kufufua ajali za barabarani ,kuleta janjo feki kwa ajili ya wapumbavu wachomwe ,kuleta tozo za kifisadi,
 
Back
Top Bottom