Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Way much better in what 😅😅 mm sioni mlichotuzidi zaidi ya njaa tuu huko, angalia nchi kama Morocco imetuzidi na 40B $ na tofauti yetu na wao inaonekana na ni kubwa sana in terms of infrastructure, health services na sekta zingine ila sasa nyinyi mnasema mko vizuri kushinda sisi wakati nyinyi Ndio mnaongoza kwa njaa, kwenye miundombinu tumewazidi kwenye ubora wa huduma za kiafya uko Ndio tusiguse kabisa na sekta zingine kibao tumewazidi sasa nyinyi hamuoni aibu na gdp yenu ya makaratasi iyo😂

Hiyo GDP kubwa ni mpango mahsusi wa akina uhuru kuwahadaa wakenya kuwa wameendelea kiuchumi. Kumbe hizo ni tarakimu ambazo hazina ukweli wowote.

Kila siku nawaambia wakenya, kwamba hiyo tarakimu ya GDP haina uhusiano wowote na maisha yenu mnayoishi. Kuna nchi ambazo zina GDP ndogo sana, lkn ukiangalia maendeleo yake, yanaonekana wazi kabisa. Yako bayana kwa kila mmoja hayatafutwi wala kupigiwa debe.
Mfano wa nchi hizo ni Botswana, Namibia na Angola. Hizi nchi kama umewahi kufika utajionea jinsi wananchi walivyowekewa mahitaji yao muhimu. Citizens welfare ni ya hali ya juu, licha ya kuwa GDP yao ni ndogo. Lkn wakenya ukiwaambia cosmetic GDP yenu haiwasaidii watakurushia kila aina ya matusi.
😀😀😀
 
Magufuli alikuwa anaanzisha vitu vipya kila kukicha mfano bus terminal hospital ,airport kufufua mashirika ya ndege na meli kufufua reli zote nk sasa tuonyeshe hata vision mpya ya mama zaidi ya kufufua ukabila na uchifu mafiii,kufufua ujambavi ,kufufua rushwa ,kufufua mgao wa umeme, kufufua ukilitimba maofisini ,kufufua kutembeza bakuri kwa mabeberu ,kufufua ajali za barabarani ,kuleta janjo feki kwa ajili ya wapumbavu wachomwe ,kuleta tozo za kifisadi,
Matendo yanaongea kuliko kupayuka na Domo lako chafu 👇

Screenshot_20220130-115558.png


Screenshot_20220130-115620.png


Screenshot_20220130-101359.png


Screenshot_20220130-101710.png


Screenshot_20220129-204007.png
 
Hiyo GDP kubwa ni mpango mahsusi wa akina uhuru kuwahadaa wakenya kuwa wameendelea kiuchumi. Kumbe hizo ni tarakimu ambazo hazina ukweli wowote.

Kila siku nawaambia wakenya, kwamba hiyo tarakimu ya GDP haina uhusiano wowote na maisha yenu mnayoishi. Kuna nchi ambazo zina GDP ndogo sana, lkn ukiangalia maendeleo yake, yanaonekana wazi kabisa. Yako bayana kwa kila mmoja hayatafutwi wala kupigiwa debe.
Mfano wa nchi hizo ni Botswana, Namibia na Angola. Hizi nchi kama umewahi kufika utajionea jinsi wananchi walivyowekewa mahitaji yao muhimu. Citizens welfare ni ya hali ya juu, licha ya kuwa GDP yao ni ndogo. Lkn wakenya ukiwaambia cosmetic GDP yenu haiwasaidii watakurushia kila aina ya matusi.
😀😀😀
Sasa unareason kama class one pupil .......Right now we are opening up northern Kenya through lapsett which will triple our GDP in the next 10 years.....kelele za chura haitubabaishi......
 
Hiyo GDP kubwa ni mpango mahsusi wa akina uhuru kuwahadaa wakenya kuwa wameendelea kiuchumi. Kumbe hizo ni tarakimu ambazo hazina ukweli wowote.

Kila siku nawaambia wakenya, kwamba hiyo tarakimu ya GDP haina uhusiano wowote na maisha yenu mnayoishi. Kuna nchi ambazo zina GDP ndogo sana, lkn ukiangalia maendeleo yake, yanaonekana wazi kabisa. Yako bayana kwa kila mmoja hayatafutwi wala kupigiwa debe.
Mfano wa nchi hizo ni Botswana, Namibia na Angola. Hizi nchi kama umewahi kufika utajionea jinsi wananchi walivyowekewa mahitaji yao muhimu. Citizens welfare ni ya hali ya juu, licha ya kuwa GDP yao ni ndogo. Lkn wakenya ukiwaambia cosmetic GDP yenu haiwasaidii watakurushia kila aina ya matusi.
😀😀😀
Toa Angola kilichopo Luanda kisikudanganye! Maisha ni ghali kinoma!
 
Back
Top Bottom