Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Yule mgagagigikoko bado anatafuta uchifu na kuvishwa ngozi na kupewa usinga
Unaona kama ridhiwani kapewa unaibu, mda si mrefu atapewa uwaziri na salma vilevile, then watapewa watoto wengine wa mkwere na ndugu zake kina membe na vilaza wengine. Haya ndio mambo ya kurithishana nchi aliyokua anapambana nayo Magu na Nyerere. Wanataka TZ imilikiwe na ukoo wa mkwere kama ilivyo uhuru kenya. Basi angalau ingekua ni familia ya watu wenye uzalendo afadhali, ila chaajabu machifu wa huu ukoo wana historia ya kuuza watu wake utumwani tena ni direct descendant wa mkwere kama mnafahamu mkwere ametokea familia ya chief wao aliekua akiuza watu wake kwa waarabu
 
We assemble more than 10 brands in Kenya.

Scania trucks and buses
Renault trucks
Isuzu trucks, buses, etc
Toyota
Mahindra
Proton Saga
Mercedes
Volkswagen
Hino trucks
Land cruiser
Banbros buses
Suzuki
Hilux pickup
More than 20 brands hata
Hyundai
Tata Daewoo
FAW
Iveco
Tata
Mitsubishi
UD trucks
Nissan
Peugeot
Foton
Mobius
 
Acha upuuzi unaanzaje kitu kipya wakati hujamaliza kilichoanza.Serikali ni moja tu mbona tumlisifu JPM kwa kumalizia Terminal 3,Kigamboni bridge,BRT,Kuendeleza TAZAM highway,Kuundeleza taasisi ya Moyo ya kikwete,Japo aliua mradi wetu wa Mchuchuma na Liganga.
We jamaa hivi unajua kuwa mama anaharibu plan zilizoachwa na Magu? Mfano barabara ya Kibaha - chalinze ilitakiwa kua kama ya kimara - kibaha lakini now inaenda kuwa njia nne. Stand ya mwenge iliyokua mbioni kukamilika imekua gofu ili yule kigogo walielease eneo lake kujenga stand ya makumbusho enzi za mkwere aendeee kupata commission. Sielewi kwa nini waTanzania hamuoni jinsi watu wanavyogawana cake ya taifa unless muwe na nyinyi mnapata share zenu
 
Mimi ninamashaka na uwezo wako wa kufikiri mbona kwako lugha kistaarabu na kiungwana haipo kabisa.Huwezi kutoa hoja bila kuroka ovyo,watu wa Njombe hatuko hivyo bora unabdili na identity yako kabisa
Nimesha mpima nikamuona upuuzi wake wewe subiri muda ukifika wote turaongea lugha moja tz
 
Kumbe nina zungumza na kitimoto
Maneno yanaongea kuliko Domo lako chafu 👇

Screenshot_20220121-193328.png


Screenshot_20220130-085557.png


Screenshot_20220130-085517.png


Screenshot_20220130-085046.png


Screenshot_20220129-231048.png
 
Any Toyota hiace you will see in Tanzania there is high probability that it was assembled in Kenya😂😂



any tourvan u (warbus) u see in Kunyaland is being fabricated by Tanzanian company as already patented and underlicenced by Toyota! So now tell us between Hiace and tourvan which one is usually costing more? As Hiace in Tanzania and Kenya r most reconditioned!




0b08bdf1-2ae7-4c92-a328-ffe8b33f736e.jpg









 
Back
Top Bottom