The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,516
- 14,183
The past 6 years tumerudi nyuma Sana,miaka ya MKapa na JK ndio uchumi ulikua Sana both private na public sectors.Tz mmejaribu sana, kushika usukani east africa, na kukua ndio wenye usemi na uchumi mkubwa EA,... lakini kenya bado imebaki kua east african powerhouse since 1987, and she's not about to relent anytime soon. we just can't let go. Ethiopia walijaribu pia kiasi, lakini hatimaye walishindwa.
eti in 2016, tulikua tumetishiwa eti Tz, will be the largest economy by 2021, and tht all Int'l functions in Nairobi will shift to Dar. lakini wapi.!?. tuko 2021 aaf
Soon baada ya Mwendazake uchumi ulishuka Sana ,ndio maana hadi leo licha ya kushika mamiradi makubwa hakuna uliomalizika na hata hiyo mingine haijulikani itaisha lini.
But signs the uchumi zimeanza kurudi inakua tunatibu madonda badala ya kukuza uchumi.



