Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
You can`t get streets like these in Tanzania.
You can`t get streets like these in Tanzania.
ichoboy01 aki Mr. Wivu woiyee kuja uone rais wetu akiweka girder la mwisho la Nairobi expressway viaduct. Yaani kwa kiswahili kwa Malazy wasioelewa kiingereza ni kwamba rais Kenyatta leo ameweka nguzo ya mwisho inayounganisha barabara ya juu ya Nairobi Expressway. Barabara imefikia 93% completion rate.
haiwezi kua big na haitawah kua mark my words 🤣🤣🤣 hasira zako hazitasaidiaAlright.
It doesn't make any sense being Small or huge.lets assume it's big as you would want it,what would be the difference.
Honestly your point doesn't hold .
tunafurahi kuona project ya mchina kwa miaka 30 😂😂😂😂 yani nchi yenu lakini mchina ndio mmiliki wa hio barabara kwa miaka 30 na hamutapita bure niamini mm budaa
Maumivu yataisha tu usijali. Najua unatamani ingejengwa Tanzania.tunafurahi kuona project ya mchina kwa miaka 30 😂😂😂😂 yani nchi yenu lakini mchina ndio mmiliki wa hio barabara kwa miaka 30 na hamutapita bure niamini mm budaa
itajengwa kwa pesa za tanzania na hakuna mtu kulipa ada kwa ajili ya matumizi 😂😂Maumivu yataisha tu usijali. Najua unatamani ingejengwa Tanzania.
Boss sisi tunakuwa first world tunawaacha matopeni.wivu kwa project ya mchina ambayo nyinyi wenyewe mutailipia hio huduma kwa miaka 30 ni kweli mtu mwenye wivu atakua kichaa na mlevi pekee 😂😂😂😂😂
adui wa kenya namba moja ni uhuru kenyatta ukasirike ukubali 😂😂😂 huyo ndio kaua economy yote ya kenya yani kaimaliza kabisa
mambo kama haya hamutaki kuskia🤣🤣Maumivu yataisha tu usijali. Najua unatamani ingejengwa Tanzania.
unakua first world huku mchina yuko kwenye toll zake akikusanya kodi zenu kwa miaka 30 😂😂😂😂 mume punguza umaskini au mumeongeza ??Boss sisi tunakuwa first world tunawaacha matopeni.
mambo kama haya hamutaki kuskia🤣🤣
Kwani ulitaka watujengee bure? Bro, Kenya sio kama Tanzania where everything is either a donation or grant.unakua first world huku mchina yuko kwenye toll zake akikusanya kodi zenu kwa miaka 30 😂😂😂😂 mume punguza umaskini au mumeongeza ??
nafurah kuona vile mchina alivowakamata ipasavyo 😂😂😂Umeachana na mambo ya Expressway tena?🤣🤣
Wacha ushamba mzee. Nchi zote first world zina toll roads. Kama hujui basi nimekufunza kitu hapo. Huwezi kutegemea serikali ijenge barabara zote nchini. Lazima private sector ihusike kujenga barabara na ports na airports na powerplants na railways. Kwanza Marekani wanapenda sana hii PPP model. Nchi yoyote ya kikapitolisti lazima ihusishe private sector katika ujenzi wa miundo mbinu.unakua first world huku mchina yuko kwenye toll zake akikusanya kodi zenu kwa miaka 30 😂😂😂😂 mume punguza umaskini au mumeongeza ??