Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Fully of low quality and unfinished buildings
High quality and finished buildings along JNIA
Screenshot_20211223-143421_Earth.jpg
 
Hahahaha, Kigiriama hakifanani kabisa na Kiswahili, kidogo kiduruma na kidogo kwa mbali Sana ndio vinafanana na Kiswahili, lakini ukija huku Tanzania, Unguja na Pemba hawana lugha zao za asili zaidi ya Kiswahili, kwa upande wa Tanzania bara, wasegeju, wadoe, wakwere na wazaramo, lugha zao 40% ni Kiswahili. Kiswahili ni lugha ya Tanzania, wachana na hao wakenya wanaoandika ktk Wikipedia, dunia nzima inajua Kiswahili ni lugha ya Tanzania.
Kigiriama umekiskia wapi wewe, km hujui kitu si unyamaze tu..
 

ichoboy01 aki Mr. Wivu woiyee kuja uone rais wetu akiweka girder la mwisho la Nairobi expressway viaduct. Yaani kwa kiswahili kwa Malazy wasioelewa kiingereza ni kwamba rais Kenyatta leo ameweka nguzo ya mwisho inayounganisha barabara ya juu ya Nairobi Expressway. Barabara imefikia 93% completion rate.
 
my point is nairobi ni mji mdogo sana tena sana ndio point yangu 😂😂
Alright.
It doesn't make any sense being Small or huge.lets assume it's big as you would want it,what would be the difference.

Honestly your point doesn't hold .
 
Back
Top Bottom