Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

okay hii inaakisi maoni yangu kwamba tuna ignore ppp na 'mfumo tuliochagua ni mzuri ingawa tunachelewa
ppp ni ushubwada tuu kama haihusishi local registered.... ina manipulate mambo mengi ya msingi kwa wananchi
Kabisa kaka!!! Tanzania tuko vizuri ndo maana hata mgeni akija kuanzisha biashara yoyote ni lazima awe na partner mbongo si hivi hivi tu!!! Lazima Mtanzania au Tanzania ifaidike kwa namna moja ama nyingine!!!
 
PPP ni swala poa kama kuna win win situation!!!!inasaidia sana kuleta maendeleo kwa haraka na pia makampuni binafsi kutunisha mifuko na kukuza mitaji yao!!!! Makampuni binafsi kwa Tanzania kusema ukweli yanajivuta sana kwny fursa kama hizi inawezekana wanatengeneza faida kubwa bado kwny atmosphere waliokuwa nayo sasa ama hawana trust au confidence ya kutosha kwny biashara ya kaliba hii.
Tatizo lililopa hapa ni Kenya kuingia ubia wa PPP na makampuni ya nje katika kujenga miuondombinu ya msingi Kama barabara, hafadhali hilo kampuni lingekua ni kampuni la ndani ya nchi, Kitendo kinachofanywa na serikali ya Kenya kukabidhi mamlaka ya ujenzi na uendeshaji wa miuondombinu ya msingi Kama barabara, reli na bandari ni Kitendo hatari Sana kwa uchumi mchanga Kama Kenya

Kenya imekua ikifanya makosa haya ya kimbinu mara kwa mara kwa sababu ya kuiga nchi za kibepari bila kuangalia mazingira ya kiuchumi ya wananchi wake, mfano mzuri ni Kitendo cha Kenya kuamua kufuata mfumo huria wa kuuza na kununua ardhi, matokeo yake matajiri na wanasiasa wachache wamehodhi ardhi kubwa bila kuitumia na kuwaacha raia wengi wakiteseka na kuishi kama wakimbizi ndani ya nchi Yao.
 
Nadhani umeelezwa vizuri Sana hapo juu, huku Tanzania tunalo Daraja la Kigamboni ambalo tunalipia, lakini pesa yake inaingia serikalini/ inabaki hapa nchini, hiyo ndio maana halisi ya PPP, nchi zote duniani hizo tajiri haziwezi ruhusu kampuni la nje kwenda kushirikiana na serikali zao kwa mpango wa PPP, huko ni kuweka rehani uchumi wenu, weka ushahidi kwamba katika nchi zilizoendelea Kuna nchi yoyote ambayo wamejengewa infrastructure na kampuni la nje kwa mfumo wa PPP
Asante mzee. Naona unazidi kubadilisha goal posts. Ulianza kwa kusema PPP haipo nchi za magharibi sasa umeruka na kusema kwamba PPP ipo magharibi ila kampuni zenyewe ni za nyumbani. Hahaha Wabongo huwa mnafurahisha. Wacha nizame nitazuka na evidence unayoitisha. Tuone utajificha wapi.
 
Asante mzee. Naona unazidi kubadilisha goal posts. Ulianza kwa kusema PPP haipo nchi za magharibi sasa umeruka na kusema kwamba PPP ipo magharibi ila kampuni zenyewe ni za nyumbani. Hahaha Wabongo huwa mnafurahisha. Wacha nizame nitazuka na evidence unayoitisha. Tuone utajificha wapi.
Angalia usizame milele!!!
 
Hahaha Kimara Kibaya ambayo imeshindwa kukamilika? Wakati Nairobi expressway imechukuwa miaka miwili tu kukamilika? Wekeni uzalendo kando mkamilishe miradi zenu kwa haraka. Hata SGR mlitaka kuwapa Wachina lakini mkaamua kuwapa Waturuki sasa mumekwama. Heri mngewapa Wachina wangekuwa wameshamaliza Ujenzi wa Sgr zamani sana.
Mawazo ya utumwa haya, Private sector in order to develop in any country needs nursing before you can have it, we need to protect our private sector untill it become strong before it can compete, you don't subject to unfair competition otherwise it won't grow and will you continue depend on foreign companies, is this what you Kenyans want?
 
Tatizo lililopa hapa ni Kenya kuingia ubia wa PPP na makampuni ya nje katika kujenga miuondombinu ya msingi Kama barabara, hafadhali hilo kampuni lingekua ni kampuni la ndani ya nchi, Kitendo kinachofanywa na serikali ya Kenya kukabidhi mamlaka ya ujenzi na uendeshaji wa miuondombinu ya msingi Kama barabara, reli na bandari ni Kitendo hatari Sana kwa uchumi mchanga Kama Kenya

Kenya imekua ikifanya makosa haya ya kimbinu mara kwa mara kwa sababu ya kuiga nchi za kibepari bila kuangalia mazingira ya kiuchumi ya wananchi wake, mfano mzuri ni Kitendo cha Kenya kuamua kufuata mfumo huria wa kuuza na kununua ardhi, matokeo yake matajiri na wanasiasa wachache wamehodhi ardhi kubwa bila kuitumia na kuwaacha raia wengi wakiteseka na kuishi kama wakimbizi ndani ya nchi Yao.
Wasijekuja kumtafuta mchawi, wachawi ni wao wenyewe!!!hamna PPP pale!!!PPP ni Public Private Partnership!!!Pale Private iko wapi kwny ile barabara?!Ile barabara ni ya mchina full stop!!!Makubaliano yalikuwaje mimi na wewe hatujui
 
Hii 👇 👇 Thika Town kwao ingekua ni city.., 😂 😂 😂 😂 , ingeitwa Thika City., kwa standard za Tz na Uganda, tuko na city mingi sana! 😂 😂 😂 😂

Thika town.., with class! 🔥 😍
View attachment 2051442
View attachment 2051441
View attachment 2051452
View attachment 2051451
View attachment 2051454
View attachment 2051453
View attachment 2051438
View attachment 2051439
View attachment 2051440
View attachment 2051443
View attachment 2051444
View attachment 2051447
View attachment 2051448
Mbona Iringa na Moshi inaizidi hiyo village town ya Thika na haiitwi City? Una ujinga mingi.
 
lakini si tunaona project moja kule tu kaskazini 🤣
Coz hio ni major and never seen before. Kuna minor projects kama hizi za bypasses zenye si two way zinafanywa two way. Pia barabara single way zinafanywa dualling

downloadfile.jpg
 
Hayo ni maneno tu vitendo ni sifuri tena ukizindatia vision ya uchapa kazi magu kaionyesha ,wewe unafikili bila magu kuwa raisi samia angejua la kufanya zaidi ya kula bata tu
Mwendazake na Samia nani kaujua utawala kabla ya mwenzake? Yule village man was blind na useless..

Samia huyu hapa 👇

Screenshot_20211224-064824.png


Screenshot_20211224-135616.png
 
Jpm alikutana na matatizo mengi sana lakini aliweza kuyavuka na maadui wengu sana ukweli ni kuwa mpaka sasa mama ajafanya lolote la maana tena hata vision yake hakuna anayeijua kwa sababu ni jamii za vibaraka tu wa mabeberu anasubiri mwongozo kutoka kwa wazungu
Nani kakutana na raha?
 
Wamalize hii mambo ya utafiti tuanze kuona matunda..

Utakuta mzungu anatumia miaka mingi hivi ya exploration afu mtu anaibuka ooh tunaibiwa sijui 50/50,,kama ni simple mbona hatuwaoni TPDC.
Hakuna cha matunda chini ya wahuni hapo wahuni wataharakisha kuweka mikataba ya kifisadi kwa sababu hakuna wazarendo
 
Back
Top Bottom