The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Heheheheeee hawa watu wana jambo lao sio bure










Heheheheeee hawa watu wana jambo lao sio bure










Tuna GDP ya $135b mpk ss, data will be displayed soon.Acha kujitoa ufahamu wewe tumekua tukitajwa na GDP ya $65 B ni mwaka wa tano sasa, swali la kujiuliza, ni je uchumi wetu haukui kila Mwaka while tunafanya miradi mikubwa kuliko fala yeyote hapa EA.?
Tz has a GDP of $135b.Maneno mengi hayajengi nchi......Numbers never lie.
Education ya Tz ndiyo hyo inayojenga majengo yasiyo poromoka, na ndiyo iliyozalisha viongozi mashuhuri Africa kama Museveni et al I think u know.Sawa genius. Naona wewe ni mwerevu sana. HAHA. The education system in TZ is much worse than the Kenyan system.
Kenya ni Mavi.Nyang'au acha uongo. Nchi yenu ni masikini sana. With populations of nearly 60m people ni watu million 3 tu wako kwenye ajira rasmi. Na Kati Yao karibu nusu wanalipwa mshahara wa takribani laki 6 za kitanzania. It's a shame ni watu duni sana nyie.
Kenyans earning more than Sh100,000 drop | Business Daily
www-businessdailyafrica-com.cdn.ampproject.org
Hebu wadau fungulieni uzi hiyo tulinganishe mishahara na Hawa wakunya. Yani wanaolipwa more than 2 million huko kwao hawafiki watu elfu 5...it's a shame. Hakuna maisha kenya.
Sent using Jamii Forums mobile app
GDP ya Tz ni $135b unaweza kuona mwenyewe wala sikufokei.When we were $75 you were $52. Wacheni kujiliwaza. The gap has been increasing steadily.
Here is your GDP 5 years ago. You keep telling yourselves lies to comfort yourselves.
View attachment 2054153
Nyuma ya hayo majengo kuna jalala la Slums, ukibisha jikune.
Hamuhuitaji hivi vitu, mnahitaji chakula.


Hii picha imewafanya watu waleft tena kule kwenye cost comparison








Hawa wehu wanatamani sana wasamehewe hayo madeni ila ndo hivyo haiwezekani.



Hii picha imewafanya watu waleft tena kule kwenye cost comparison![]()



Chanzo chako cha taarifa ni kipi?maana mimi hupitia taarifa za WB, IMF Na BOT hatujawahi kifikia GDP ya $65B kwa miaka mitano iliopita...iyo tumeifikia mwaka huu ambapo ilikadiriwa $67b kabla ya uviko...yani unataka tuwe na GDP ya $100b kwa lipi serikali imeshindwa hata kuongeza mishahara kwa miaka 6 sasa na bado tunakopa hadi hela za kujenga madarasa na x-rays machine...Acha kujitoa ufahamu wewe tumekua tukitajwa na GDP ya $65 B ni mwaka wa tano sasa, swali la kujiuliza, ni je uchumi wetu haukui kila Mwaka while tunafanya miradi mikubwa kuliko fala yeyote hapa EA.?
Simba na Yanga zipo tu na siasa zao maji taka.
🚮🚮🚮🚮Matunda ya Kazi ya Mama SSH.
in 2067 maybeTz has a GDP of $135b.