Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Chanzo chako cha taarifa ni kipi?maana mimi hupitia taarifa za WB, IMF Na BOT hatujawahi kifikia GDP ya $65B kwa miaka mitano iliopita...iyo tumeifikia mwaka huu ambapo ilikadiriwa $67b kabla ya uviko...yani unataka tuwe na GDP ya $100b kwa lipi serikali imeshindwa hata kuongeza mishahara kwa miaka 6 sasa na bado tunakopa hadi hela za kujenga madarasa na x-rays machine...
Awamu ya tano ilipoamua kujenga sgr ikijua kabisa %kubwa ya mizigo inasafirishwa na barabara na nyingi bado ziko vibaya hapo ndio ujiulize iyo impact ya ku shoot GDP itatikeaje ghafla ivyo na sgr bado haijaanza kazi...vivyo hivyo JNHED Hadi ianze kazi ndio GDP yaweza panda zaidi
@The best 007 135b umetoa wapi lakini?
 
download.jpeg
 
Nakumbuka enzi za Marehemu Magufuli..yeye alikua anaenda kwa site,akipata mume lala kwa kazi na hamfanyi kazi quality anawafuta papo hapo..anatafta contractor mwengine aendelee na kazi..Honestly huyo jamaa aliwajaribia sana...Kama binadamu watu hua na kasoro ndogo ndogo..lakini alijaribu....Nilipenda slogan yake''HAPA KAZI TUU"
Asante sana mkuu
 
Back
Top Bottom