Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

"TUTAAA TUTAAA TUTAAA!!" Walisikika Wabongo walevi wakiimba. Wazee wa kupiga soga juu ya mawe wakati SGR Dar mpaka Moro bado haijakamilika 2 years behind deadline. Mradi huu wa bomba ambao tulidanganywa kwamba utaanza April mwaka huu hata naona mwaka huu utaisha bila mradi huu kuanza. Watu wa tuta tuta mnachosha sana.

You never stopped using your feel good phrases.

Kaa mkao wa kuliwa, maana mChina anamendea SGR yenyu.
 
ww usikae kuropoka kwa vitu usivovijua hakuna kitu utanidanganya ww kuhusu mwanza mzee hilo nakwambia kindakindaki piga picha na mm december ntakua huko alaf ntafurumusha picha kama zote 🤣🤣🤣 alaf tuone basi

nimekupa mfano wa bwiru tu ushaanza kulialia wewe vp mzee umekuaje ???🤣🤣
Sawa. Mimi ni muongo. Ila hizo picha zikija zitaonyesha ukweli mtupu.
 
"TUTAAA TUTAAA TUTAAA!!" Walisikika Wabongo walevi wakiimba. Wazee wa kupiga soga juu ya mawe wakati SGR Dar mpaka Moro bado haijakamilika 2 years behind deadline. Mradi huu wa bomba ambao tulidanganywa kwamba utaanza April mwaka huu hata naona mwaka huu utaisha bila mradi huu kuanza. Watu wa tuta tuta mnachosha sana.
Wacha ujinga wewe, tuta tuta vipi wakati SGR inaenda kuisha, EACOP pipeline inaenda taratibu, ulitaka mradi mkubwa vile uishe kwa wiki moja? Wacha upumbavu wewe mkunya.
 
Mipango miji iliathirika miaka ya 80s ikaanza kushughulikiwa tena late 90s wakati wa mkapa lakini hicho ndio kilikuwa kipindi cha growth kubwa mijini mara tuu baada ya liberalization kuanza wakati wanaanza kurekebisha wananchi walikuwa wameshafika mbali na ujenzi mwingi nje ya plan.
Ni kweli. Hata ukiangalia picha za miji ya Tanzania miaka ya 80 utaona jinsi mpangilio ulikuwa vizuri. Lakini hata kama growth ilikuwa kubwa, legislation ya mpangilio wa miji ingeweza kuzuia ujenzi holela. Serikali ya Tanzania haijawahi kuweka kipaumbele kwenye mpangilio wa miji Na Ndio Maana leo tupo hivi.
 
Inaelekea serikali inataka kubana gharama maana kuwa jiji ni lazima liendane na ongezeko la human resource. Hata Kahama yenyewe bado inabaniwa sababu za kisiasa tuu maana kahama ina hadhi ya jiji lakini wanaona ita outshadow Shinyanga mjini ambayo ni administrative center ya mkoa.
Valid.
 
Magu alishamaliza, watake wasitake JNHPP lazima iishe
Asikwambie mtu, hii nchi bado inaendeshwa na maamuzi ya Magu, hata kama wanafiki wanamsifia mama.

Majuzi, Hamissi (bosi bandari) alishauri Tanroad wajenge barabara DRC kule kalemi ili kuongeza ufanisi katika kuisogeza mizigo inayotoka bandari mpya ya karema (Rukwa), kama vile TRC walivyowajengea waganda reli kule port bell.
 
Nilisema kuwa ukiingia CBD ya Mwanza kitu cha kwanza kuona ni makazi duni na bado kuna watu wanasema mimi ni muongo.

Evidence: Exhibit 1.
4D07025E-9379-4BB0-9972-14E43AFF4DFB.jpeg
 
Wewe sema tu kuwa hukusoma Civics. Ungeweza kuandika “sifahamu” Ila unataka kunikomoa Kwa majibu ya mkato! Huna lolote! Potea!

😛😛
Mimi siyo wa level ya civics?
Lkn Pale Wizarani kuna wataalam wote kuanzia legal, finance, urban planning and development, education, health to name a few. Watakupa vigezo na masharti, halafu utaona kama kwenu kiboruloni kama kunakidhi vigezo na masharti ya kuwa jiji.
 
Back
Top Bottom