Nicxie
JF-Expert Member
- Jun 20, 2017
- 20,609
- 15,712
Babaayo 😂 😂Maamayo.
Babaayo 😂 😂Maamayo.
Halafu nikishapata jibu litanisaidiaje? Nina nguvu ya kuleta mabadiliko?😛😛
Mimi siyo wa level ya civics?
Lkn Pale Wizarani kuna wataalam wote kuanzia legal, finance, urban planning and development, education, health to name a few. Watakupa vigezo na masharti, halafu utaona kama kwenu kiboruloni kama kunakidhi vigezo na masharti ya kuwa jiji.
Ukisema kawaida unamaanisha nini?Iyo picha majengo yenu yako kawaida sana
Utawafanya Ichoboy ba The best 007 washikwe na heart attack 😂Mombasa hyoView attachment 2026146
Wewe kilaza usiyejielewa ni mtu wa kusupport? Kuna watu wa kusupport ila sio weweFala wewe huwa una support wakiiponda Tz na c Kenya, mbwa wewe haya ni support na mm basi ninayesema serikali ya Kenya imejaa wezi![]()
nazisubiria bro kwa hamu zote na mwezi wa 12 ntakua huko usijali 🤣🤣🤣🤣Sawa. Mimi ni muongo. Ila hizo picha zikija zitaonyesha ukweli mtupu.
Nioneshe post yoyote uliyowahi ku support habari za Tz alafu nitakuonesha nilivyowahi ku support mambo ya Kenya, wewe fala nn.Wewe kilaza usiyejielewa ni mtu wa kusupport? Kuna watu wa kusupport ila sio wewe
hio sio CBD kumbe mwanza huijui 🤣🤣🤣🤣Nilisema kuwa ukiingia CBD ya Mwanza kitu cha kwanza kuona ni makazi duni na bado kuna watu wanasema mimi ni muongo.
Evidence: Exhibit 1.
View attachment 2026445
bila make up sasa ni ushuzi wa nguruwe 🤣🤣🤣🤣🤣 mm huna cha kunidanganya wwUtawafanya Ichoboy ba The best 007 washikwe na heart attack 😂
Halafu nikishapata jibu litanisaidiaje? Nina nguvu ya kuleta mabadiliko?
hayo ni maeneo outside the CBD mzee kubali mwanza huijui 😂😂😂
Outside the CBD? 😂😂😂 Really? So unanigaslight namna hii kwasababu hukubaliani na mimi?hayo ni maeneo outside the CBD mzee kubali mwanza huijui 😂😂😂
nikikwambia ww huijui mwanza unalia kwann sasa 😂😂😂😂 nimecheka sana leoOutside the CBD? 😂😂😂 Really? So unanigaslight namna hii kwasababu hukubaliani na mimi?
Fukwe za ziwa Victoria Ndio CBD?
nikikwambia ww huijui mwanza unalia kwann sasa 😂😂😂😂 nimecheka sana leo
zawadi yako hii hapa
Na wewe well lipstick hapaView attachment 2026144
Kuondoa aibu kama hizi endeleeni kuweka lipstick kwenye picha slum zenu.