Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndio maana Uganda iko hapa na kuahidi kutumia bandari zetu zaidi.

Wasi Wasi wangu ni kwamba, China iki take over KPA itataka kuwa hub ya Afrika. Ukizingatia mizigo mingi inatoka Asia na pia wana vessels na shipping line kubwa sana. Hivyo threat kwao Kwa Sasa ni Tanzania.

Wakubwa zetu na wenye maamuzi wawe makini sana maana mchina lazima atutupie ndoano kali sana ya kutuvuta. Huu ndio muda ya kuchanga karata na kupiga hesabu zetu vizuri.
Hapo ndiyo umuhimu wa raisi kama magufuli unapo takiwa si unaona sgr ya mchina alivyo ikwamisha kwa mbinu na mikakati mingi hadi nchina kakubali hasara yote ni kwa serikali ya kenya ,mbinu aliyo tumia ya kujenga sgr ya umeme ili vunja kila mpango wa sgr ya kenya
 
And I can share with you thousands of articles about Tanzanian beggars on Kenyan streets
Ombaomba wate africa wanaitambua kenya kuwa ni Hija kwao kwanza mtume wa maomba omba wote ni uhuru kenyatta ndiyo mtume wao hivyo ombaomba hakiwa kenya ujue yupo hija anahiji
 
9710DC77-A163-4797-B25D-5A57BBAE1DF5.jpeg
F3B3A508-369F-4601-A31B-040AA7E83298.jpeg
 
Hapo ndiyo umuhimu wa raisi kama magufuli unapo takiwa si unaona sgr ya mchina alivyo ikwamisha kwa mbinu na mikakati mingi hadi nchina kakubali hasara yote ni kwa serikali ya kenya ,mbinu aliyo tumia ya kujenga sgr ya umeme ili vunja kila mpango wa sgr ya kenya
Inahitajika umakini sana. Maana Tanzania ni kubwa na ina mtandao mpana wa kuzifikia nchi nyingi. Kuna amani na utulivu wa kutosha. Ni eneo la kimkakati Kwa maswala ya kilojistiki katika ukanda wa mashariki, Kati na kusini mwa Afrika. Hii tuitumie Kwa faida. La sivyo watatuumiza tu pakubwa sana.
 
Inahitajika umakini sana. Maana Tanzania ni kubwa na ina mtandao mpana wa kuzifikia nchi nyingi. Kuna amani na utulivu wa kutosha. Ni eneo la kimkakati Kwa maswala ya kilojistiki katika ukanda wa mashariki, Kati na kusini mwa Afrika. Hii tuitumie Kwa faida. La sivyo watatuumiza tu pakubwa sana.
Kwasasa Tz viongozi wanajitahidi mana wanajua wananchi co wajinga kama zamani lkn pia Magufuli katufungua sn Watz kwamba tuna haki ya kuwawajibisha viongozi kama hawatendi tunavyotaka, zamani wananchi walikuwa wanadhani wao ndiyo wafanyakazi alafu viongozi ndio mabos kumbe haiko hvyo, Magu aliwakimbiza sn viongozi waliochini yake ikapelekea Watz wajue kwamba wao ndio maboss na viongozi ni wafanyakazi.

Magu was the real deal
 
Hapo ndiyo umuhimu wa raisi kama magufuli unapo takiwa si unaona sgr ya mchina alivyo ikwamisha kwa mbinu na mikakati mingi hadi nchina kakubali hasara yote ni kwa serikali ya kenya ,mbinu aliyo tumia ya kujenga sgr ya umeme ili vunja kila mpango wa sgr ya kenya
Mchina alivyo inawezekana alijenga sgr akaachia katikati hili wampe mombasa port halafu anamalizia reli anaanza kuvuna pesa. By the way Jerusalem Nairobi moto mshafanikiwa kuzimu . Kweli kuna unknown place nyingi hii Jerusalem ndio sikia leo Tony254 ebu zitaje zote
 
Inahitajika umakini sana. Maana Tanzania ni kubwa na ina mtandao mpana wa kuzifikia nchi nyingi. Kuna amani na utulivu wa kutosha. Ni eneo la kimkakati Kwa maswala ya kilojistiki katika ukanda wa mashariki, Kati na kusini mwa Afrika. Hii tuitumie Kwa faida. La sivyo watatuumiza tu pakubwa sana.
Hatari ni mchina akichukua bandari za kenya kwa sababu ya deni la sgr na mengineyo wanayo dai serikali ya kenya maana ni ukweli kuwa serikali ya kenya inakwenda kushindwa kulipa deni kama uganda mchina anataka kuchukua airport
 
Mchina alivyo inawezekana alijenga sgr akaachia katikati hili wampe mombasa port halafu anamalizia reli anaanza kuvuna pesa. By the way Jerusalem Nairobi moto mshafanikiwa kuzimu . Kweli kuna unknown place nyingi hii Jerusalem ndio sikia leo Tony254 ebu zitaje zote
Hapo mchina anachukua vyote sgr ambayo ni kama yake tayari bado mombasa port ambayo nayo inachukuliwa ndani ya miaka mitatu kutoka sasa ,hivyo watz inatakiwa tukimbize reli yetu mapema na bwawa la umeme ili kuvutia nchi jirani umeme wa wawekezaji wa wind na solar ni hatari kimikataba tuachane nao maana mikataba ni yakishenzi shenzi tu itakwamisha umeme kuwa nafuu hivyo kuifanya tz isiwe kivutio cha uwekezaji pia hujuma zitatoka kwa wawekezaji wa umeme kuhujumu mifumo ya serikali ili wafanye biashara
 
Hapo mchina anachukua vyote sgr ambayo ni kama yake tayari bado mombasa port ambayo nayo inachukuliwa ndani ya miaka mitatu kutoka sasa ,hivyo watz inatakiwa tukimbize reli yetu mapema na bwawa la umeme ili kuvutia nchi jirani umeme wa wawekezaji wa wind na solar ni hatari kimikataba tuachane nao maana mikataba ni yakishenzi shenzi tu itakwamisha umeme kuwa nafuu hivyo kuifanya tz isiwe kivutio cha uwekezaji pia hujuma zitatoka kwa wawekezaji wa umeme kuhujumu mifumo ya serikali ili wafanye biashara
Magu alishamaliza, watake wasitake JNHPP lazima iishe
 

"TUTAAA TUTAAA TUTAAA!!" Walisikika Wabongo walevi wakiimba. Wazee wa kupiga soga juu ya mawe wakati SGR Dar mpaka Moro bado haijakamilika 2 years behind deadline. Mradi huu wa bomba ambao tulidanganywa kwamba utaanza April mwaka huu hata naona mwaka huu utaisha bila mradi huu kuanza. Watu wa tuta tuta mnachosha sana.
 
Back
Top Bottom