Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwahyo hizo picha alizopost ni za one year ago we fala 😂😂😂 hizo ni picha za zaidi ya miaka kumi iliyopita
The data you gave me ni za this year bongolala. Ama wewe ulileta tu taarifa bila kujua content yake?
 
But that does not denounce the fact that they are still beggars.
If you did literature, you could have understood why the writer was careful with his choice of words and why he used the word could add not any other word
 
We unazungumzia data gani we fala.? Mada hapa so ni picha alipost Coco last night au.?
Kumbe nadeal na zuzu who can't even remember his own words!

Nilileta ripoti ya WB about extreme poverty in Tanzania and you reacted with a Tweet from your government saying that poverty levels in Tanzania have reduced to something to do with 26% (can't remember the exact figure). Hiyo ilikuwa ni tweet ya this year ndio nikakuuliza inamaanisha kwamba in less than one year poverty in Tanzania has reduced by more than a half? Mambo na mipicha unajua ulikotoa and shows just how confused your are!
 
Nyie wakenya matahira sana unabishana na mtu alieleta mpaka ushahid wa picha na videos 😂😂😂
Ukweli ndio hampendi kusikia, hata mkiambiwa na wenzenu. Mwishowe mnawatukana na kuwanyang'anya uraia wao. Si ni juzi (Friday) ndio mmoja wenu kasema Walker255 ni mkenya just because anaongea ukweli?
 
Kumbe nadeal na zuzu who can't even remember his own words!

Nilileta ripoti ya WB about extreme poverty in Tanzania and you reacted with a Tweet from your government saying that poverty levels in Tanzania have reduced to something to do with 26% (can't remember the exact figure). Hiyo ilikuwa ni tweet ya this year ndio nikakuuliza inamaanisha kwamba in less than one year poverty in Tanzania has reduced by more than a half? Mambo na mipicha unajua ulikotoa and shows just how confused your are!
Anhaa Owky nilichanganya madesa, sasa mzee nicxie, unataka kuamini data za nani kama official data kutoka serikalini hutaki kukubaliana nazo mzee.?
 
Nyang'us hawajui lugha hii.
246935022_308762271058276_8138065410708719753_n.jpg
 
Ukweli ndio hampendi kusikia, hata mkiambiwa na wenzenu. Mwishowe mnawatukana na kuwanyang'anya uraia wao. Si ni juzi (Friday) ndio mmoja wenu kasema Walker255 ni mkenya just because anaongea ukweli?
Mimi mwenyewe nimeishi Mwanza miaka mitatu mzee nimeondoka juzi kati tu mwezi wa nane, huyo bwenge ana chuki zake na serikali atulize kijambo, vitu anavyolalamikia mostly ni uongo, ndio yapo maeneo ya kwenye milima juu ya mawe ambayo hayajapangwa lakini kwa standard za Africa yanaridhisha lakini pia yapo maeneo ya tambarare ambayo yamepangwa vizur tu na ni maeneo mengi na yamepostiwa humu videos zaidi ya tano, kama kuona ni kuona ni kuamini kwanini na wewe usapoti ufala wake.?
 
Huyo ndugu yako anapenda ubishi sana. He's ''always right''
Unafurahi kuona mTz akiponda nchi yake, nyie endeleeni naye mana hajiulizi mbn mtu kama ww uko hapa kusifia kila kitu cha Kenya mpaka ma slums, wizi, low quality infrastructures, hunger, etc unaatetea

Huyo unayeona anakufurahisha leo c ndiye aliyekuwa anakupiga vitasa humu mpk ukawa unalia?
 
Ukweli ndio hampendi kusikia, hata mkiambiwa na wenzenu. Mwishowe mnawatukana na kuwanyang'anya uraia wao. Si ni juzi (Friday) ndio mmoja wenu kasema Walker255 ni mkenya just because anaongea ukweli?
Hehehehee huyo Walker umemsahau leo!!? C ndio alikuwa anakupiga vitasa humu ndani au umesahau, wakati anakupiga vitasa ulikuwa husemi kwamba anasema ukweli ila leo ndio unamuona anasema ukweli
 
Hata kama ungekuwa unajua hadi chini ya ziwa Victoria kukoje, hutaweza kukataa the fact kuwa Mwanza haina mpangilio. Watu wanajenga kila mahali na sasa everything is just a mess. Siku nitaenda Mwanza nipige picha mwenyewe.
ww usikae kuropoka kwa vitu usivovijua hakuna kitu utanidanganya ww kuhusu mwanza mzee hilo nakwambia kindakindaki piga picha na mm december ntakua huko alaf ntafurumusha picha kama zote 🤣🤣🤣 alaf tuone basi

nimekupa mfano wa bwiru tu ushaanza kulialia wewe vp mzee umekuaje ???🤣🤣
 
ww usikae kuropoka kwa vitu usivovijua hakuna kitu utanidanganya ww kuhusu mwanza mzee hilo nakwambia kindakindaki piga picha na mm december ntakua huko alaf ntafurumusha picha kama zote alaf tuone basi

nimekupa mfano wa bwiru tu ushaanza kulialia wewe vp mzee umekuaje ???
 
Back
Top Bottom