Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

ulitaka mradi mkubwa vile uishe kwa wiki moja? Wacha upumbavu wewe mkunya.
Ukianza matusi nakuignore. Mimi sio Geza Ulole kwamba nitavumilia matusi zako. Nilikuwa naongea na ichoboy01 sasa wewe sijui umetokea wapi na matusi zako ilhali sikuwa naongea na wewe. Ukiendelea hivyo utakula block. Sipendi ujinga mimi. Sina muda na ujinga wako. That is your final warning.
 
Mwambie Tony254 aweke yale aliyosema hatuyajui Kwanza halafu na watanzania ndio waache uzalendo. Maana kasema Nairobi kuna mambo yakiwekwa hapa itakua hatari
Ungemwambia yenye mwenyewe maana mimi sina uwezo wa kujua alichotaka kusema
 
same pic bila lipstic sasa
View attachment 2026263



after zooming
View attachment 2026280
Umeumiaeee!!
JamiiForums154940685.jpg
 
Asikwambie mtu, hii nchi bado inaendeshwa na maamuzi ya Magu, hata kama wanafiki wanamsifia mama.

Majuzi, Hamissi (bosi bandari) alishauri Tanroad wajenge barabara DRC kule kalemi ili kuongeza ufanisi katika kuisogeza mizigo inayotoka bandari mpya ya karema (Rukwa), kama vile TRC walivyowajengea waganda reli kule port bell.
Kumbe tumeshakuwa donor country mapema sana?! Nilikuwa sijui aise.
 
Video yako haionyeshi chochote bora. Bado slums ziko pale pale na zinaonekana wazi wazi. Picha niliyoipost unaikataa lakini ni valid. Hospitali ya MBC inaonekana vizuri tu mlimani na CBD ya Mwanza inaonekana kweupe. Kwa hiyo kataa uwezavyo. Ukweli umekuumbua! Unasema hiyo picha ni outside the CBD? Let’s pretend that you’re right. Haya kuna afadhali?
😂😂😂😂 video ya 20min jamani haioneshi chochote nimecheka mpaka basi







na hii ni downtown sasa uliokua unaisemea ww🤣🤣👇👇👇 12min




alaf ww ndio unaijua mwanza kuliko mm nilipozaliwa nimeishi nimekulia huko na kila mara niko huko serious??🤣
 
Back
Top Bottom