Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi ni Tanzania pekee inayotoa chakula hii Dunia? Hivi nikiwa na pesa nitakosa pa kununua chakula kisa Tanzania imekataa kuniuzia chakula? Mbona unafikiria kama mburukenge?
Asante kwa kukubali kwamba serikali ya Kenya haina pesa ndio maana majolity wanakufa kwa njaa
 
huu mgodi mama awe mjanja bas.. awaite hao investors wajenge viwanda hukuhuku.. wasiruhusu resources kwenda nje
IMG_3027.jpg
 
Wakuu haya mambo ya umeme kukatika na maji kutokuwepo naanza kuhisi huenda ni propaganda za kisiasa tu, mbn sioni huo mgao? Au utakuja soon mana mm naona kawaida tu, umeme unakatika mara chache sana per week, au mm cjaelewa hapa? Hebu nielewesheni huko kwenu vipi.
Hata mimi pande yangu si hivyoo!!!Ile ya asbh to jioni sijaiona kbs!!!
 
Mzee wa render, hujawahi kuweka uhalisia hata cku moja, wewe ni render tu asubuhi, mchana, jioni na Tecno yako. Hakuna render hata moja iliyogeuka uhalisia.
Every big project starts with renders. GTC was a render at some point, mwishowe ilijengwa.
The Expressway was a render at some na mwishowe ilijengwa.
88Nairobi was a render at some point na mwishowe inajengwa.
River Estate Housing was a render at some point na mwishowe ujenzi inaendelea.

I can give tens of examples of such projects which we posted their renders here mkatoa povu lakini mwishowe yalijengwa. Sasa tuliza kende
 
Mkuu mbona swali la akili unajibu kwa kutumia miguu.
Swali la kipumbavu sisi ndiyo ilitakiwa tumuulize yeye ilo swali ili atupe jibu......ni sawa sawa na waziri wa nishati atuulize wananchi mbona kuna mgao wa umeme ....wewe utamjibu vipi
 
Wakuu haya mambo ya umeme kukatika na maji kutokuwepo naanza kuhisi huenda ni propaganda za kisiasa tu, mbn sioni huo mgao? Au utakuja soon mana mm naona kawaida tu, umeme unakatika mara chache sana per week, au mm cjaelewa hapa? Hebu nielewesheni huko kwenu vipi.

Nenda vijijin ndio utapata hali halisi au njee ya dar
 
Wakuu haya mambo ya umeme kukatika na maji kutokuwepo naanza kuhisi huenda ni propaganda za kisiasa tu, mbn sioni huo mgao? Au utakuja soon mana mm naona kawaida tu, umeme unakatika mara chache sana per week, au mm cjaelewa hapa? Hebu nielewesheni huko kwenu vipi.
Nasema ukweli, nilipo umeme upo 24 hours wala haukatiki.
Na nipo kwenye moja ya jiji tena mjini kabisa.
Labda ni baadhi ya sehemu ndo kuna matatizo ya umeme kukatika ovyo.
 
narudia tena,sisi hatudili na makaratasi mzee,
tunadeal na reality

muache ujinga wa kueneza porojo na propaganda kwenye website paper
Peleka malalamishi yako African Development Bank. Hii kelele unapiga hapa jf haitabadili chochote
 
Back
Top Bottom