The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 42,480
- 98,527
Na kwnn nife njaa wkt mm ni Mtz, do you know what Tz means?Lazima mtu afe nje ndio awe maskini? Kwa hivyo wewe hapo ambaye hujafa njaa ni tajiri?
Na kwnn nife njaa wkt mm ni Mtz, do you know what Tz means?Lazima mtu afe nje ndio awe maskini? Kwa hivyo wewe hapo ambaye hujafa njaa ni tajiri?
Jibu swali kijana. Sijauliza kama wewe ni mtanganyika au mtanzaniaNa kwnn nife njaa wkt mm ni Mtz, do you know what Tz means?
Wakenya hamna akili, ss hapo kitu gn hujaelewa? Au rudi kwenye comment yng uliyoikoti soma tena alafu niulize upya.Jibu swali kijana. Sijauliza kama wewe ni mtanganyika au mtanzania
huu mgodi mama awe mjanja bas.. awaite hao investors wajenge viwanda hukuhuku.. wasiruhusu resources kwenda nje
View attachment 2016513
muache porojo,Peleka malalamishi yako African Development Bank. Hii kelele unapiga hapa jf haitabadili chochote

Na hana ujanja mkuu lazima anase tu.Tanzania ina Resources zote ambazo directly zinahusiana na harakati za Elon Musk.
Wafanye tu mpango wakumtongoza huyu mwamba ili kama akiwa na mpango wa kuwekeza Africa basi TanzaniaIwe kipaumbele kwake.
Wewe ni mpuuzi aliye uliza mambo ya umeme wa gesi ukumuambia kuwa ili siyo jukwaa la hivyo ...mimi niliye mjibu unanishutumu kuwa siyo jukwaa la siasa ,Una mihemko ya kijinga sana,acha ushamba huo,jukwaa la siasa lipo nenda huko,hapa apahusiani na siasa zenu
Nimesema hapa miaka mingi kuwa Masoud ni genius, basi tuu watanzania hatuna utamaduni wa kuwaenzi watu wenye akili.ubaya ni nn ujue? ubaya ni masoud nae kaona haya mambo kwenye huu utawala wa sasa.. yey nae kaona ni ‘walewale’
kipindi cha jpm, jamaa alikuwa anamchora komwe kubwa tu![]()
Mgao ni kweli jomba sema walikuwa nanakata kwa masaa machache machache ili kutudanganya kuwa ni maintenence ila baada ya kutangaza rasmi sasa ni mgao wa masaa 12 au 8 kwa siku ya mgao ,kabla ya hapo walikuwa wanafanya mzunguko wa haraka yaani kwa siku unaweza kukatwa masaa mawili kisha wanawasha na kukata tena masaa mawili walifanya hivyo kuficha tatizoC ndo nashangaa, hii nchi kuna watu wanaakili sn![]()
Na hana ujanja mkuu lazima anase tu.
tunarudisha ufalme wa kila kitu sasa
Bashe ana akili nyingi, hata u president ungemfaa huko mbeleni sema origin yake inamuangusha.Na wish Bashe angekuwa waziri kamili siku moja, wizara yoyote itaiweza kuliko kilaza kama Januari.
😂😂😂😂Ndio maana nasema border tufunge. Mnavizia sana. Mnaua biashara zetu.
Basi tuu roho mbaya za baadhi ya watu, mtu babu yake alihamia Tanganyika miaka ya 1920's huko, kwa nini wamuwekee kauzibe? Sheria za nchi zinasema kama ulikuwa kwenye ardhi ya Tanganyika midnight 9/12/1961 wewe ni raia, hivyo automatically baba yake na yeye ni raia wa kuzaliwa.Bashe ana akili nyingi, hata u president ungemfaa huko mbeleni sema origin yake inamuangusha.
Mkuu njoo huku Tabora ndo utajua mgawo upo.Wakuu haya mambo ya umeme kukatika na maji kutokuwepo naanza kuhisi huenda ni propaganda za kisiasa tu, mbn sioni huo mgao? Au utakuja soon mana mm naona kawaida tu, umeme unakatika mara chache sana per week, au mm cjaelewa hapa? Hebu nielewesheni huko kwenu vipi.
Wazee wakurebase kila baada ya Muda mfupi.Mimi hua nashangaa Sana Kenya amezidiwa na Tz in terms of credit lakini GDP yake kubwa.GDP yao haireflect ukubwa huo.Kitu pekee wamebaki nacho ni udalali sugu😀😀😀muache porojo,
80% of kenya data zenu haziendani na uhalisia kimaisha
mpo na cooked data za kutosha
ubaya ni nn ujue? ubaya ni masoud nae kaona haya mambo kwenye huu utawala wa sasa.. yey nae kaona ni ‘walewale’
kipindi cha jpm, jamaa alikuwa anamchora komwe kubwa tu![]()




ndonga