Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kukiwa na maana hakuna sehemu ya kusafiri masaa 96 kutoka mkoa mmoja kwenda mkoa mwingine.

Basi bhana kutoka Isiolo hadi mandera watu wanatumia masaa 96 njiani.

Tena km 740 tu!
hiyo ndiyo tofauti ambayo huwa tunabishana nao wakenya,huwa wanajifanya kuwa wanamtandao mkubwa wa rami,

vitu vyao ni fake fake tu on paper
 
Mimi nachofahamu walikuwa wamepanga Idadi ya ndege ziwe kwa mfumo wa Pyramid kulingana na ukubwa wa ndege lakini mpaka sasa Pyramid yetu haijakaa sawa. Hizo B767-9 Max zinatakiwa ziwe nyingi kuliko B787-8 labda kama kuna muendelezo wa ununuzi wa ndege nyingine baada ya hizo order kuwasili nchini.

B767-Freighter
B737-9 Max
B787 Dreamliner
A220-300
De Havilland - 400
Hehehehee alafu mkuu wewe hii Avatar yako nilikuwa nikiiona naichukia sn, nilikuwa naofananisha na ya jamaa mmoja hivi jeuri sn na ni mjinga kupita maelezo kumbe co bhn, ww ni mzalendo
 
Yani inasikitisha mpaka basi waliinza kwa kisingizio cha maintenance, sasa wametafuta kisingizio kingine daah, nchi inazalisha karibu surplus ya almost megawatt 350 ila kunamgao sasa nashindwa mbona kuwe na mgao kwenye majii tena ndio yaleyale, mama anajua sana sema ndio hivyoo hana meno eti anasema tuombe dua mvua zinyeshee
Ameongea pumba sn, huyu mama yenu mm simwelewagi kabisa, na cjui itakuwaje mana mpk tunavyoongea hawezi kupata kura yng labda nikiona changes, alafu kitu kingine kinachoniuma ni Tz kukosa upinzani wa kweli aisee, huu ndio ulikuwa muda wa upinzani huu.
 
Airbus 2 zilishalipiwa down payment, sidhani kama zimeondolewa by the way Mama anaipenda sana🙂
Nadhani Max ni order mpya, so in total hapa tunazungumzia ndege mpya 7.
Kwahiyo sasa hivi hata atujui nini ni nini kinafanyika serikalini maana kila mtu anasema yake
 
Hizi ni proposal za hivi karibuni.... majengo yanazidi chipuka kila kukicha
download-1.jpg
download-2.jpg
 
Kwahiyo sasa hivi hata atujui nini ni nini kinafanyika serikalini maana kila mtu anasema yake
Serikali ya TUTA, nasubiri tuta tuta zao zigeuke reality, JPM alikuwa akiongea leo ujue wiki ijayo mambo yanaanza, kuna Watz hawapendi kuona tukimtaja taja JPM ati wanasema ameshakufa, lkn mm kama muajiri namkumbuka mfanyakazi wangu aliyepita kwamba alikuwa anafanya kazi vzr kuliko huyu wa ss, co zambi.
 
Mzee wa render, hujawahi kuweka uhalisia hata cku moja, wewe ni render tu asubuhi, mchana, jioni na Tecno yako. Hakuna render hata moja iliyogeuka uhalisia.
Mtateseka sana na Nairobi hii...haijasimama kama dar slum,inajengwa usiku na mchana
IMG_20211118_212050_142.jpg
IMG_20211118_212014_065.jpg
 
Ameongea pumba sn, huyu mama yenu mm simwelewagi kabisa, na cjui itakuwaje mana mpk tunavyoongea hawezi kupata kura yng labda nikiona changes, alafu kitu kingine kinachoniuma ni Tz kukosa upinzani wa kweli aisee, huu ndio ulikuwa muda wa upinzani huu.

Yani maza Leo kachemshaa kweli kweli anachukulia mambo simpo kweli yy anataka kuwavutia wawekezaji umeme wenyeww ndio huu wa kusuasua kama tukiendelea hvi hii sgr yenyewe tutaiona chunguu Leo nmekubali rasmi tumepigwaa
 
Yani maza Leo kachemshaa kweli kweli anachukulia mambo simpo kweli yy anataka kuwavutia wawekezaji umeme wenyeww ndio huu wa kusuasua kama tukiendelea hvi hii sgr yenyewe tutaiona chunguu Leo nmekubali rasmi tumepigwaa
Tumepigwa kaka mchana kweupee, huyu mama hana uwezo wa kuongoza hata wilaya.
 
Ameongea pumba sn, huyu mama yenu mm simwelewagi kabisa, na cjui itakuwaje mana mpk tunavyoongea hawezi kupata kura yng labda nikiona changes, alafu kitu kingine kinachoniuma ni Tz kukosa upinzani wa kweli aisee, huu ndio ulikuwa muda wa upinzani huu.
Kaka Tumepotezana mtu mwenye maono. Yaani alikuwa na uwezo wa kuliangalia jambo tofauti wengine.
Moja ya sifa ya mtu asiyekuwa na maono ni kushindwa hata kusoma alama za nyakati ulizonazo ili u solve tatizo la mbeleni.

Mfano mvua hazinyeshi,
Kwa akili za kawaida tu inatosha kukutaarifu kuwa kuna njaa mbeleni badala ya kudhibiti vyakula visiuzwe hovyo nje hakuna anayejali, hakuna wa kuhamasisha kulima mazao yanayohimili ukame.

Mabwawa ya umeme huwa hayaishiwi maji ghafla kuna vipimo huwa vinaonyesha level za maji mnajiandaa,
Magufuli alisimamia maono yake, yeyote aliyetaka kumkwamisha kwa ushauri au vinginevyo alimweka pembeni.
Hali ikiendelea hivi 2025 ccm itakuwa na wakati mgumu kwenye uchaguzi ambao haujawahi tokea labda asimamishwe mtu mwingine.

Wakati mwingine nahisi kuna kitu Mungu anataka tujifunze.
 
Back
Top Bottom